Ni jambo la kusikitisha sana baadhi ya sheli ndani ya wilaya ya hanang wanauza mafuta ya petroli tofauti na bei elekezi ya EWURA. Bei elekezi ya EWURA ina sema mafuta ya petroli ni shs 2147 sasa huku c.m.s kwa sheli moja inauzwa shs 2247 na hakubali akukatie risiti. ukidai risiti anakuambia...
vodacom m pesa mnahuduma mbovu sana. leo nilikuwa najaribu kutoa pesa kwa wakala chakusikitisha wakala ananiambia hakupokea msg kutoka makao makuu.
ikabidi nikae zaidi ya masaa 6 ndo wakamtumia msg wakala ili atoe pesa. huduma zenu mbovu sana hapa wilaya ya hanang eneo la cmsc
Wana jf hapa najua kuna wataalamu wa kilimo. Sisi Watanzania asilimia kubwa ni wakulima, hata uwe mfanyakazi wa ajira sehem fulani baadhi yao wanalima.
Kinachoniskitisha hapa kwani tunashindwa kutosheleza chakula chetu kwa kiwango kikubwa na wakati tunalima? Nchi ya Marekani robo ya watu...
inaumiza sana wanadamu kutesana namna hii. naimani na naomba muamini kuwa hakuna binadam atakayesalia katika uso huu wa dunia. lazima wote tutakufa tu. umemtanguliza mwenzako lakini najua kuwa yako nayo yaja. inawezekana utakufa kwa kifo kibaya zaidi
hivi unajua kutokuwa na elimu ni shidaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa? we ulimwengu wa sasa humdanganyi mtu. sawa gwajima akubali huo msalaba na wakapime DNA ispoonyesha kuwa mtoto si wa gwajima.... bashite achukuliwe hatua za kisheria
hivi jamani nchi yetu ina njaa alafu we unatoa chakula nje ya nchii huu si uendawazimu? tanzania tuna madaktari wachache mno lakinii nchi kama nchi inawatafutia ajira nje ya nchii. hii ni akili au uendawazimu? tusubiri bunge la budget mwezi wa nne fadha za kuajiri wataalam wapya ilitolewa mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.