Asingekuwa amekwama kitaalauma na kuwa mwalimu wa tuition, majority wasinge mtambua. Ni ile tu ameeacha alama kwa vijana wa leo kwa kuwapiga Pindi tuition.
Kuna vipanga viko kimya tu, hawakuwa na kelele mtaani, wako sehemu wanafanya makubwa.
Japo most of TO huku mtaani wako frustrated...
Issue ni sheria na regulations zinazoguide iyo sector. Kuna taratibu za kiusalama pia kuna taratibu za kimazingira. Pia kwasasa lazima pump zote ziwe intergrated na mfumo wa EFD.
Ukisafiri mkoani, utakuwa vijana wengi wanauza wese kwenye makopo. Maarufu kama kidebe. Wanauza mpaka 4000 kwa lita.
So far serikali hawahangaiki nao. Sasa ngoja usikie muuza wese la kidebe amefunga na pump na kawawekea kivuli wateja wake...kesho tu Ewura hawa hapa
Hizi zilikuwa zinauzwa 300k miaka ya nyuma, ila sasa zine shoot mpaka 1.2-1.5m unless uiotee mahali.
Imekuja kugundulika zinafunga kwenye Prado 150 na 250 series. So bei imeshoot hatari
Yote hii ni katika harakati za kukimbia kilimo kijijini. Mwaka wa 10 huyu bwana anatangatanga, angekuwa amefungua genge miaka iyo, angeweza kuwa na mafanikio makubwa sana hii leo.
Kwa ufupi siasa imemkataa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.