Ushaanza kupotosha watu
Usizini wala usifanye uasherati.... ichukulie kama ilivyo acha kupotosha ni kumosea Mungu
Unaweka maneno kinywani mwake
Proverbs 13
New International Version
13 A wise son heeds his father’s instruction,
but a mocker does not respond to rebukes.
2 From the fruit...
Hekima ndio ilinijulisha hili
Nilijulishwa mara mbili nikapata kuelewa
Wachache sana wanaweza kuelewa nilichokiandika.
Asiyekuwa na Nuru ya Bwana hawezi elewa ninachokiandika
Paulo ni mpinga Kristu. Elimu yake maono yake yote ni ya kutunga. Uharibifu wake umeharibu kanisa leo hii. .
NIko natembea road nashindwa kuandika zaidi ila kama mkristo unaye amini katika Kristu.
KUna msemo unasema if you cant kill them join them. Paulo alifanya uharibifu unaouona leo wa makanisa yasiyoeleweka.
Paul is biggest antichrist
I have said this so many times
Ukiangalia nyuzi nilizo comment zinazohusiana na mijadala ukristu humu....Paulo ni ant christ
Hakuna barua au chochote alichoandika paulo naweza kukipa uzito
Unajua watu wengi hawajui kabisa kwa nini wana Israel walikatazwa kula baadhi ya vyakula
Hata sisi tuliobahatika kujua baadhi ya vitu ukimweleza mtu anakuona kubwa jinga ....most people are set to perish
No one take a moment to think why this
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.