Recent content by Gily Gru

  1. Gily Gru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina wasiwasi na hii ndoa yangu. Nifanyeje?

    Una shida nyingone nahisi hujataka kuiweka Hebu weka nipate kukushauri vizuri
  2. Gily Gru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: Leo nimetua mzigo mzito wa mahusiano

    Unainywa mara ngapi hiyo?
  3. Gily Gru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkasa wa kweli: Leo nimetua mzigo mzito wa mahusiano

    Kuna jambo la kujifunza hapa
  4. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Uvaaji wa uniform kwa wanafunzi umepitwa na wakati serikali ijitathmini upya

    Naelewa basi ndugu yangu maama ya mwanafunzi huwa nawaona huko wakipita pita
  5. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Uvaaji wa uniform kwa wanafunzi umepitwa na wakati serikali ijitathmini upya

    Hapana mangi una jambo binafsi, haiwezekani uko mtaani zaidi ya miaka 4 unawaza sare za watoto wa shule. Am just thinking outside the box.
  6. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Uvaaji wa uniform kwa wanafunzi umepitwa na wakati serikali ijitathmini upya

    Uniform ina maana kubwa pia. Sio kuleta usawa tu. Uniform ni utambulisho. Ukiona vijana wako na Uniform huko barabani huna haha ya kuuliza kama ni mwanafunzi au anasoma shule gani.
  7. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Uvaaji wa uniform kwa wanafunzi umepitwa na wakati serikali ijitathmini upya

    That's why nikasema hatuwezi kuwaza uniform wakati elimu bado mbovu. Wewe husomi uko mtaani inakuwaje unawaza wanafunzi wa shule za msingi na secondary wavae nguo binafsi? Mangi una jambo gani nyuma ya pazia
  8. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Uvaaji wa uniform kwa wanafunzi umepitwa na wakati serikali ijitathmini upya

    Hakuna mwanafunzi kutoka vyuoni... Ukiwa chuo huitwi mwanafunzi😊
  9. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Uvaaji wa uniform kwa wanafunzi umepitwa na wakati serikali ijitathmini upya

    Kuna wanafunzi wanatokea maisha duni. Uniform.inawela usawa, huwezi ona ufukara wake Pia tumeona baadhi ya taasisi vya elimu ya juu wakiweka dressing code kutokana na wanachuo kuvaa nguo za ajabu ajabu. Shuleni watu wanafata elimu. Independent ikaboreshwa elimu zaidi
  10. Gily Gru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tujadiliane: Kwanini Ulioa/Uliolewa? Unawashauri Nini Kataa Ndoa?

    Vijana kataa ndoa wako sahihi kabisa ndoa sio kwa kila mtu. Kuna makundi mengi duniani Hawaoi wala hawaolewe kama mapadri, ma sister, nk Ila kwangu ndoa ni moja ya maendeleo makubwa ambayo nilitamani kuyapitia. Pia kitu ambacho nilikuwa natamani kupata watoto kwa mwanamke mmoja sikutaka kuwa na...
  11. Gily Gru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Miaka 12 na Renata: Safari ya Mapenzi iliyofika mwisho ghafla....

    ?????
  12. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Mwanaume kama una mtoto wa kiume Hekima na busara ukasoma hii

    Duh kwa hiyo kuchinja kuku au kutochinja kunapunguza sifa ya kuwa mwanaume? ila kuongezea ingependeza kila nyumba iwe na bustani nimeshawahi kukutana na mtoto mjini hajui mmea wa muhindi ukoje.
  13. Gily Gru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Why do Lesb use dildos if they are not into men? They are even shaped like Penises !!

    Dildo doesnt pee baada ya tako 3. I imagine that to be the reason
  14. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Sura ya ndugu Hamphrey Polepole yaonyesha udharirishaji wa hali ya juu kwa taifa lake

    Ni udhalilishaji Sio udharirishaji
Back
Top Bottom