Kanisa la hapo mwanzo walichofundishwa walichosoma walichoishi ni tofauti kabisa na kanisa unavyoona hapa
Asilimia kubwa ya kanisa lenye nguvu kubwa au mchango wa mtume paulo halina msingi kabisa wa kile alichofundisha Yesu japo wanahubiri kuhusu Yesu.
Leo hii watu wanaenda kutafuta miujiza...
Hii mbona iko very clear
Kanisa lina taratibu ya kuombea au kubariki vitu na watu. Mtu akinunua gari anapeleka kwa Padri kubariki.
Watu wanaenda sana church kubarikiwa, kuombewa au kutoa shukrani kwa ajili ya mafanikio yao
Sasa kipindi cha nyuma kanisa lilibagua sana baadhi ya watu ikiwemo...
Unajua Jina la Yesu ni Nazare, maana yake The Truth
Yesu aliikuja kuonyesha ukweli ambao ulishapotea baada ya miaka mingi toka Musa
HIi dunia inaongozwa na wanyama pori, mama wakwe, kahaba, nk. Hivyo watu hawataacha kupotea na kuangamia
DIni zote duniani kubwa zinaongozwa na uharibifu mkubwa...
Hata mimi sijui naona vinyago vya baadhi vina matumbo, hujawahi kuonq?
Kiongozi wao alikuja Dar kipindi cha nyuma sasa sijajua kama walikuwa ni wahindu au wa budha.
Alibebwa juu ya kiti anazunguka posta, uchi wa mnyama.
Zamani watu walikuwa na akili sana, kulingana na watu wa sasa.
Kulikuwa na elimu kubwa ambayo imepotea.
ELimu ya uharibufu bado inafanya uharibifu
Nawaza tu baba na mama mkwe ndio wanaoruhusu uharibifu ufanyike ndani ya mtu
Haya maisha nimeanza kuyachukia mno. Tunaishi uongo mkubwa kuwahi...
tatizo unaishi dunia ambayo unataka mambo yawe kama unavyoona wewe
Ina maana umri wangu huu unadhani sijawahi kuchangia harusi au
Sisi tunaotokea kaskazini haya mambo tunayaona kawaida sana
Waswahili wanaona maajabu
Jibu changa au usichangia hakuna anayekushikia panga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.