Uniform ina maana kubwa pia. Sio kuleta usawa tu. Uniform ni utambulisho. Ukiona vijana wako na Uniform huko barabani huna haha ya kuuliza kama ni mwanafunzi au anasoma shule gani.
That's why nikasema hatuwezi kuwaza uniform wakati elimu bado mbovu. Wewe husomi uko mtaani inakuwaje unawaza wanafunzi wa shule za msingi na secondary wavae nguo binafsi?
Mangi una jambo gani nyuma ya pazia
Kuna wanafunzi wanatokea maisha duni. Uniform.inawela usawa, huwezi ona ufukara wake
Pia tumeona baadhi ya taasisi vya elimu ya juu wakiweka dressing code kutokana na wanachuo kuvaa nguo za ajabu ajabu.
Shuleni watu wanafata elimu. Independent ikaboreshwa elimu zaidi
Vijana kataa ndoa wako sahihi kabisa ndoa sio kwa kila mtu. Kuna makundi mengi duniani Hawaoi wala hawaolewe kama mapadri, ma sister, nk
Ila kwangu ndoa ni moja ya maendeleo makubwa ambayo nilitamani kuyapitia. Pia kitu ambacho nilikuwa natamani kupata watoto kwa mwanamke mmoja sikutaka kuwa na...
Duh kwa hiyo kuchinja kuku au kutochinja kunapunguza sifa ya kuwa mwanaume?
ila kuongezea ingependeza kila nyumba iwe na bustani nimeshawahi kukutana na mtoto mjini hajui mmea wa muhindi ukoje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.