Recent content by Gily Gru

  1. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Hivi huyu PSL god mnamuelewa ?

    inawezekana sishangai kabisa kuhusu huyu dogo Nilishawahi mpa u mod, akawa anabadilisha heading kila uzi Anazingua sana
  2. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Hivi huyu PSL god mnamuelewa ?

    Namwelewa Ana matatizo flan ya akili ila ni mwanangu sana
  3. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Punyeto inafariji mno¡¡¡

    Bad very bad in long run Kama unajipenda acha kabisa
  4. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Kuna upepo wa prominent Protestant converting to Catholicism! Nini kinatokea?

    Kanisa la hapo mwanzo walichofundishwa walichosoma walichoishi ni tofauti kabisa na kanisa unavyoona hapa Asilimia kubwa ya kanisa lenye nguvu kubwa au mchango wa mtume paulo halina msingi kabisa wa kile alichofundisha Yesu japo wanahubiri kuhusu Yesu. Leo hii watu wanaenda kutafuta miujiza...
  5. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Kuna upepo wa prominent Protestant converting to Catholicism! Nini kinatokea?

    Hii mbona iko very clear Kanisa lina taratibu ya kuombea au kubariki vitu na watu. Mtu akinunua gari anapeleka kwa Padri kubariki. Watu wanaenda sana church kubarikiwa, kuombewa au kutoa shukrani kwa ajili ya mafanikio yao Sasa kipindi cha nyuma kanisa lilibagua sana baadhi ya watu ikiwemo...
  6. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Kuna upepo wa prominent Protestant converting to Catholicism! Nini kinatokea?

    Makanisa yote ambayo yana misingi ya paulo ni uporevu tu, unahamia kwenye kitu kile kile
  7. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Nataka Kuacha Ukristo na Kujiunga na Buddhism – Nianzie wapi Dar?

    Unajua Jina la Yesu ni Nazare, maana yake The Truth Yesu aliikuja kuonyesha ukweli ambao ulishapotea baada ya miaka mingi toka Musa HIi dunia inaongozwa na wanyama pori, mama wakwe, kahaba, nk. Hivyo watu hawataacha kupotea na kuangamia DIni zote duniani kubwa zinaongozwa na uharibifu mkubwa...
  8. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Nataka Kuacha Ukristo na Kujiunga na Buddhism – Nianzie wapi Dar?

    Good, hata mimi nawaza kujiunga Sabato. At the moment niko bado Catholic ila sishiriki
  9. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Nataka Kuacha Ukristo na Kujiunga na Buddhism – Nianzie wapi Dar?

    Anyway Kwa nini hujawaza kujiunga na Sabato?
  10. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Nataka Kuacha Ukristo na Kujiunga na Buddhism – Nianzie wapi Dar?

    Hata mimi sijui naona vinyago vya baadhi vina matumbo, hujawahi kuonq? Kiongozi wao alikuja Dar kipindi cha nyuma sasa sijajua kama walikuwa ni wahindu au wa budha. Alibebwa juu ya kiti anazunguka posta, uchi wa mnyama.
  11. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Nataka Kuacha Ukristo na Kujiunga na Buddhism – Nianzie wapi Dar?

    Hapana Ila kuna mda nafikiri budhism na vinyago kuna uwezekano walikuwa wanaabudu viumbe vya sayari za mbali aliens
  12. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Nataka Kuacha Ukristo na Kujiunga na Buddhism – Nianzie wapi Dar?

    Ushawahi kujiuliza kwa nini sanamu zao zina vitambi na sura mbaya?
  13. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Vitabu vya kishirikina vinavyowapa kiburi wapemba na baadhi ya mashehe na maustadh

    Zamani watu walikuwa na akili sana, kulingana na watu wa sasa. Kulikuwa na elimu kubwa ambayo imepotea. ELimu ya uharibufu bado inafanya uharibifu Nawaza tu baba na mama mkwe ndio wanaoruhusu uharibifu ufanyike ndani ya mtu Haya maisha nimeanza kuyachukia mno. Tunaishi uongo mkubwa kuwahi...
  14. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania sikuomba kuzaliwa, kwanini nihukumiwe na moto wa milele

    Ukiwaza kuwa kila unalojua ni uongo Unahitaji ukweli ili ujue unachozungumza Ushawahi kutafuta ukweli? Au kila jambo atasingiziwa Mungu
  15. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Michango ya Harusi Single 100,000 na Dabo 150,000, watu wanaumia kimoyomoyo!

    tatizo unaishi dunia ambayo unataka mambo yawe kama unavyoona wewe Ina maana umri wangu huu unadhani sijawahi kuchangia harusi au Sisi tunaotokea kaskazini haya mambo tunayaona kawaida sana Waswahili wanaona maajabu Jibu changa au usichangia hakuna anayekushikia panga
Back
Top Bottom