Recent content by Gily Gru

  1. Gily Gru

    Uvaaji wa uniform kwa wanafunzi umepitwa na wakati serikali ijitathmini upya

    Naelewa basi ndugu yangu maama ya mwanafunzi huwa nawaona huko wakipita pita
  2. Gily Gru

    Uvaaji wa uniform kwa wanafunzi umepitwa na wakati serikali ijitathmini upya

    Hapana mangi una jambo binafsi, haiwezekani uko mtaani zaidi ya miaka 4 unawaza sare za watoto wa shule. Am just thinking outside the box.
  3. Gily Gru

    Uvaaji wa uniform kwa wanafunzi umepitwa na wakati serikali ijitathmini upya

    Uniform ina maana kubwa pia. Sio kuleta usawa tu. Uniform ni utambulisho. Ukiona vijana wako na Uniform huko barabani huna haha ya kuuliza kama ni mwanafunzi au anasoma shule gani.
  4. Gily Gru

    Uvaaji wa uniform kwa wanafunzi umepitwa na wakati serikali ijitathmini upya

    That's why nikasema hatuwezi kuwaza uniform wakati elimu bado mbovu. Wewe husomi uko mtaani inakuwaje unawaza wanafunzi wa shule za msingi na secondary wavae nguo binafsi? Mangi una jambo gani nyuma ya pazia
  5. Gily Gru

    Uvaaji wa uniform kwa wanafunzi umepitwa na wakati serikali ijitathmini upya

    Hakuna mwanafunzi kutoka vyuoni... Ukiwa chuo huitwi mwanafunzi😊
  6. Gily Gru

    Uvaaji wa uniform kwa wanafunzi umepitwa na wakati serikali ijitathmini upya

    Kuna wanafunzi wanatokea maisha duni. Uniform.inawela usawa, huwezi ona ufukara wake Pia tumeona baadhi ya taasisi vya elimu ya juu wakiweka dressing code kutokana na wanachuo kuvaa nguo za ajabu ajabu. Shuleni watu wanafata elimu. Independent ikaboreshwa elimu zaidi
  7. Gily Gru

    Tujadiliane: Kwanini Ulioa/Uliolewa? Unawashauri Nini Kataa Ndoa?

    Vijana kataa ndoa wako sahihi kabisa ndoa sio kwa kila mtu. Kuna makundi mengi duniani Hawaoi wala hawaolewe kama mapadri, ma sister, nk Ila kwangu ndoa ni moja ya maendeleo makubwa ambayo nilitamani kuyapitia. Pia kitu ambacho nilikuwa natamani kupata watoto kwa mwanamke mmoja sikutaka kuwa na...
  8. Gily Gru

    Mwanaume kama una mtoto wa kiume Hekima na busara ukasoma hii

    Duh kwa hiyo kuchinja kuku au kutochinja kunapunguza sifa ya kuwa mwanaume? ila kuongezea ingependeza kila nyumba iwe na bustani nimeshawahi kukutana na mtoto mjini hajui mmea wa muhindi ukoje.
  9. Gily Gru

    Why do Lesb use dildos if they are not into men? They are even shaped like Penises !!

    Dildo doesnt pee baada ya tako 3. I imagine that to be the reason
  10. Gily Gru

    GE2025 CHAUMMA: Mgonjwa akifika hospitali apewe Ubwabwa

    Naunga mkono hoja ya kupewa ubwabwa hospital🤣
  11. Gily Gru

    Sijui kwanini Magufuli alilivunja jengo la TANESCO-Ubungo, pengine Polepole atujuze!

    Basi nakuja na nyama we ephen pika ugali nakuja
  12. Gily Gru

    Sijui kwanini Magufuli alilivunja jengo la TANESCO-Ubungo, pengine Polepole atujuze!

    Umepika nyumbani sijala chakula cha mchana nielekez nije chap
Back
Top Bottom