Lakini mimi pia sikuona chuo cha ST. FRANCIS cha IFAKARA ndani ya hii guideline ya TCU. Ila ukiingia kwenye website ya St. Francis wanaonesha wanadahili mwaka huu. Kutakuwa na mapungufu kwa hii guideline
Kwa
Nadhani usome tena, post yangu ya awali.
Kwa hiyo hata sasa hawafanyi kazi zao sawasawa kwa kuwa hawana ukali!?
Kuwa mkali unamaanisha nini labda? Bila shaka ulimaanisha kusimamia sheria ama taratibu vyema.
TRA, TPA, PCCB wakiendeleza "ukali" na wafanyabiashara wakafuata taratibu na...
Daaah, unaona ni heri bandari iwe tupu..!!??
Bidhaa feki kuingizwa nchini nako kunahusiana vipi na Bandari.? Hiyo kazi ya bidhaa feki inawahusu TBS. Mbona hadi sasa bidhaa feki zipo japokuwa hazijapitia bandarini.!? Hata sisi watz wenyewe tunatengeneza bidhaa feki hata kama tukifunga bandari...
Binafsi, naona wakati wa JK walikusanya mapato makubwa zaidi ya haya ya sasa.
Wakati wa Jk mwezi August walikusanya 923 Bilioni huku mwaka mmoja baadaye wamekusanya 1158 Bilioni. Hii ni tofauti ya bilioni 235.
Wakati wa Jk kilichoelezwa ni kuwa mapato hasa bandarini yalikuwa hovyo na mizigo...
Sio nzuri hii, huu uzi kaanzisha mwenzio kwa sababu zake mwenyewe. Kuweka suala lako hapa ,si afya. Nimeona sehemu nyingine nako umefanya hili hili. Anzisha uzi wako kama lengo ni kuitangaza Stationary yako.
Kwa mazingira ya sasa hata sheria iwe kali vipi, lazima mimba zitapiga hodi tu.
Kuwabana wanaume si kazi rahisi maana hata kuwekwa sheria ya kufungwa miaka 30 kwa kubaka, iligonga mwamba.
Wazazi na walezi kulea vyema na kuwakumbusha watoto mambo haya ya uzazi na madhara yake ndio njia imara...
Kumbe ni gross salary.?
Ila sawa tu kuliko kukaa mkavu mtaani ni heri uwe nao karibu, unaweza kuongeza uzoefu na kuepuka kuomba vocha.
Ambacho sikuwaelewa kwenye tangazo lao wameandika," The enumerator will be contracted occasionally once the research/assessment or survey happens"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.