msemakweli2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 1,627
- 1,886
nani asiyependa hela wakati kama huu,kama inaingiza faida kuna haja gani ya kuuza,usipanic anyway nawaza kwa sauti.
Hapana siwezi kupanic hata maramoja hiyo sio hulka yangunani asiyependa hela wakati kama huu,kama inaingiza faida kuna haja gani ya kuuza,usipanic anyway nawaza kwa sauti.
Sio nzuri hii, huu uzi kaanzisha mwenzio kwa sababu zake mwenyewe. Kuweka suala lako hapa ,si afya. Nimeona sehemu nyingine nako umefanya hili hili. Anzisha uzi wako kama lengo ni kuitangaza Stationary yako.EMPOWER STATIONERY - THE UNIVERSITY OF DODOMA
TUNAPATIKANA MKOANI DODOMA KATIKA CHUO KIKUU CHA DODOMA ALI MAARUFU UDOM
COLLEGE OF EDUCATION (COED)
ENEO LA UJASI
TUNATOA HUDUMA ZIFUATAZO:-
PRINTING - 50/=
PHOTOCOPY 25/=
SCANNING - 300/=
BINDING - 500/=
SPIRAL - 1500/=
INTERNET CAFE
PIA TUNA EDIT KAZI ZA MASTERS NA KUWEKA VIPIMO
UMEME NI WA UHAKIKA HATA UMEME UKIKATIKA TUNATUMIA SOLAR POWER
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIMU
0752074090
0784387983
AU
e-mail empowerstationary@gmail.com
GODBLESS EMPOWER
Pili hailipi, hata pango na mshahara wa binti ni sheeeda japo una uwezo wa kuvilipa toka chanzo kingine.Hapana siwezi kupanic hata maramoja hiyo sio hulka yangu
Sababu zipo nyingi lakini moja kubwa ni kwamba nabadili mazingira na biashara
Hongera!!!Imeshanunuliwa
Hahhahahaaaa long time no see you brotherHongera sana,bei ilikuwa rahisi sana na eneo kubwa pia.
Ila Mshana hakikisha unamachia dawa zako za kuzuia wanga na chuma ulete.
Maana najua wewe mkali hawakukuweza asije huyo new Comer akawa anaibiwa kila siku
Hahah nipo kaka nilikuwa Comoro kidogo kuangala mazingira ya mihangaiko mkuu.Hahhahahaaaa long time no see you brother
Haswaa,ila usafiri ndio changamoto,na pia nazi zinapotea kwa kasi,maana hata hapa Zanzibar baada ya miaka 10 itabidi tuagize nazi kutoka nje,maana maeneo mengi yenye kilimo cha minazi yanakuwa kwa kasi kwa ujenzi.Na watu hawapandi minazi,wanategemea ile ya asili.Pouwa kule nazi na mbuzi na nguo vinatoka sana
Haswaa,ila usafiri ndio changamoto,na pia nazi zinapotea kwa kasi,maana hata hapa Zanzibar baada ya miaka 10 itabidi tuagize nazi kutoka nje,maana maeneo mengi yenye kilimo cha minazi yanakuwa kwa kasi kwa ujenzi.Na watu hawapandi minazi,wanategemea ile ya asili.
ni kweli usafiri ni changamoto kubwa sana ila mzigo ukifika salama faida ni nzuri