mbuta likasu
Senior Member
- Feb 29, 2016
- 155
- 87
Dawa ni kurud tena shule
Bonge la point MkuuBaadala ya kusoma diploma upya unarudia mitihani ya Form 6 nina uhakika mtu huwezi kosa vi D viwili.
Hawawezi kazia hiyo GPA ya 3.5 wewe itakuwa ni tatizo kubwa na vyuo vitafungwa kwa kukosa wanafunzi afu wewe hushtuki tu mbona admission zinachelewa !jiangalie wewe kitambo ufaulu upo vile vile ila ilitakiwa tu kuondoa janja janja ya kupata vyuo bila sifa na siyo kukomoa kwa kupandisha GPA kwa watu wa diploma afu mtu wa six ana vidii vyake viwili tu eti anakwenda chuo (DD) sijaona kitu hapo mimi
Mh!sio simple kama unavyofikiri mkuu kwa sababu D inaanzia 50 mpaka 59.kwaiyo unataka kunidhibitishia kuwa mtu wa PCB aliekosa hizi marks atazipata kwa kuresit?Impossible!Baadala ya kusoma diploma upya unarudia mitihani ya Form 6 nina uhakika mtu huwezi kosa vi D viwili.
hivi unajua D moja no ngapi ndugu?Hawawezi kazia hiyo GPA ya 3.5 wewe itakuwa ni tatizo kubwa na vyuo vitafungwa kwa kukosa wanafunzi afu wewe hushtuki tu mbona admission zinachelewa !jiangalie wewe kitambo ufaulu upo vile vile ila ilitakiwa tu kuondoa janja janja ya kupata vyuo bila sifa na siyo kukomoa kwa kupandisha GPA kwa watu wa diploma afu mtu wa six ana vidii vyake viwili tu eti anakwenda chuo (DD) sijaona kitu hapo mimi
Mbona tyr? Nenda website ya nacteWapendwa naomba mnisaidie,hivi hawa walioomba diploma in Primary education wanapangwa lini?