Recent content by Gideon1000

  1. Gideon1000

    Basi la Mwendo Kasi lapata ajali barabara ya Morogoro

    Matairi ya hiyo gari nyingine yapo salama?
  2. Gideon1000

    Kibonzo: Hali ya Profesa Lipumba ofisini Buguruni inatia "huruma"

    Vipindi vyake anamfundishia nani au kaacha kufundisha
  3. Gideon1000

    Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ameamua kujiuzulu nafasi yake

    Wakati umewadia wa kuwafunga tena zile goli 5
  4. Gideon1000

    Musoma: Mke anyofolewa jicho na mumewe kwa kumnyima kipande cha sabuni

    Sijaelewa matumizi ya hiyo sabuni hadi asiweze kulala bila sabuni
  5. Gideon1000

    Tatizo la uume kusimama muda wote

    Duuuh!!!hii nayo Kali,maana hiyo hali watu wanaitafuta sana hadi kwa waganga. Ila nijuavyo mm ni kuwa hali hiyo hutokana na mjengeko wa mawazo,so utakuwa unamawazo yanayopelekea uume kusimama.
  6. Gideon1000

    Ni Augustine Lyatonga Mrema, The 1995 CCM conquer

    Kila kitabu na zama zake
  7. Gideon1000

    Zamaradi amewaza nini kumhoji Gigy Money?

    Kipozeo + Kaoge + Giggy money = Take one. Hapo equistion imebalance
  8. Gideon1000

    Hatimaye Yanga yakabidhiwa kwa Manji aiendeshe kama club Binafsi

    Manji akizungumza hamna sauti nyingine yakukohoa,Hongera MANJI coz hamna mfanyabiashara anayetoa fedha bure. Huu ni wakati wake wa kurudisha hasara ya mlivyokuwa mnachekelea kuingia bure uwanja wa taifa
  9. Gideon1000

    Kigwangalla afanya ziara kliniki ya ForePlan, awapa Polisi masaa 24 kumkamata Tabibu Mwaka

    Kama lengo ni kuzuia hawa waganga wangewakamata wote lakini kumkamata mmoja na kuacha wengine wanatamba kwenye matangazo ya TV na redio sio sahihi.Tena hawa matabibu wanatoza gharama kubwa utadhani unatibiwa Appolo India
  10. Gideon1000

    Simwelewi rafiki yangu anataka nini kwangu

    Siku nyingine mkikutana muulize kama amepata maono au la,maana kama ni mlokole atakuwa anasubiri maono au aoteshwe
  11. Gideon1000

    Rais wa klabu ya Simba Evans Aveva anashilikiwa na jeshi la polisi

    Mmmh!!!juzi tena?wakati alitokea kupokea bulungutu kutoka kwa Mo
  12. Gideon1000

    NACTE kwanini msikifungie Institute of Adult Education, DSM??

    Chuo cha serikali mm niwe na maslahi nacho yepi,chamsingi kama unasoma hapo wasiliana na uongozi wako wa wanafunzi ili mzitatue hizo kero
  13. Gideon1000

    NACTE kwanini msikifungie Institute of Adult Education, DSM??

    Hahaaa!!!Mimi sisomi hapo ila nakushangaa unavyosema husomi hapo na unalalamikia matatizo kuliko wanaosoma hapo,kijana nenda kasome Harvard huko ndo mazingira bora yapo,lakini pia naendelea kukusisitiza jifunze kuandika na uwe una hariri habari yako kabla ya kuituma ionekane ktk jamii
  14. Gideon1000

    NACTE kwanini msikifungie Institute of Adult Education, DSM??

    Kwajinsi ulivyoandika bandiko lako wewe utakuwa ni mmojawapo wa wale ambao hawakustahili kusoma chuo hicho. Unaandika kama uko primary,sasa huko chuo ulifikaje kama siyo wewe mmoja wa wanaokishushia hadhi chuo hiko.
  15. Gideon1000

    Orodhesha mambo ambayo Magufuli hajayafanya mpaka sasa ukirejea Ilani ya CCM 2015

    Kuna watu inatakiwa mkamatwe,maana kazi sijui mnafanya saa ngapi,kukicha mitandaoni siasa mpaka jua linazama ni siasa tu,akiwemo na mtatiro.Samahanini lakini nimetoa maoni tu kama katiba ya nchi inavyoelekeza
Back
Top Bottom