figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,614
- 62,403
Ajali ya basi la mwendokasi (DART) iliyotokea usiku huu katika barabara ya Morogoro.
Basi la Mwendo kasi lagongana Uso kwa uso na Prado makutano ya Morogoro Road na Mtaa wa India usiku huu.
Hakuna madhara kwa abiria na drivers wa pande zote mbili !
Basi la Mwendo kasi lagongana Uso kwa uso na Prado makutano ya Morogoro Road na Mtaa wa India usiku huu.
Hakuna madhara kwa abiria na drivers wa pande zote mbili !