kabwinyola
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 560
- 678
Nakumbuka ilikuwa mwaka 1995. Ambako mzee Lyatonga Mrema alitikisa Tanzania hii, Alikuwa mpinzani wa kweli ambaye
1. Hakuwa msanii
2. Hakuhonga watu na kuwasomba kwa malori kutengeneza mafuriko feki, ya kwake yalikuwa mafuriko halisi
3. Gari lake lilisukumwa km 23 tokea Bukoba mjini kuelekea sehemu moja inaitwa katano Ishozi , bila kumuhonga kijana yeyote
4. Aliweza kusababisha watu wazito kama kina Nyerere kuingilia kati kwenye kampeni
5. Mrema alipata umaarufu bila hata kuwanunua waandishi wa habari na magazeti
6. Mrema hakuwa supported na walanguzi kuiuza Ikulu
7. Mrema aliogopwa na CCM mpaka baadhi ya vituo masanduku ya kupigia kura hayakupelekwa
8. Mrema alizunguka Tanzania karibia robo tatu kwa gari na alikuwa na nguvu sana
9. Mrema hakutoka CCM kwa kashfa za rushwa
10. Mrema hakuwahi kujiuzuru au kutuhumiwa rushwa na hapendi rushwa.
WATOTO WA JUZI WAKIJA ETI UPINZANI WA 2015 ULIKUWA MKUBWA KULIKO 1995 UMEDANGANYWA NA NANI , ULE ULIKUWA UPINZANI WA KWELI KUTOKA MOYONI , HAKUNA KUANDAA WATU MFANO FRIENDS OF SOMEBODY AU FOR SOMEBODY MOVEMENT,
MREMA ULIKUWA JUU
1. Hakuwa msanii
2. Hakuhonga watu na kuwasomba kwa malori kutengeneza mafuriko feki, ya kwake yalikuwa mafuriko halisi
3. Gari lake lilisukumwa km 23 tokea Bukoba mjini kuelekea sehemu moja inaitwa katano Ishozi , bila kumuhonga kijana yeyote
4. Aliweza kusababisha watu wazito kama kina Nyerere kuingilia kati kwenye kampeni
5. Mrema alipata umaarufu bila hata kuwanunua waandishi wa habari na magazeti
6. Mrema hakuwa supported na walanguzi kuiuza Ikulu
7. Mrema aliogopwa na CCM mpaka baadhi ya vituo masanduku ya kupigia kura hayakupelekwa
8. Mrema alizunguka Tanzania karibia robo tatu kwa gari na alikuwa na nguvu sana
9. Mrema hakutoka CCM kwa kashfa za rushwa
10. Mrema hakuwahi kujiuzuru au kutuhumiwa rushwa na hapendi rushwa.
WATOTO WA JUZI WAKIJA ETI UPINZANI WA 2015 ULIKUWA MKUBWA KULIKO 1995 UMEDANGANYWA NA NANI , ULE ULIKUWA UPINZANI WA KWELI KUTOKA MOYONI , HAKUNA KUANDAA WATU MFANO FRIENDS OF SOMEBODY AU FOR SOMEBODY MOVEMENT,
MREMA ULIKUWA JUU