Recent content by Ghost Mode

  1. G

    Utaijua vp samsung galaxy s4 feki ama original?

    Mkuu wakala wa samsung wanauza device zao kwa bei ya juu sana ukicompare na sehemu nyingine
  2. G

    justin beiber amuweka ndani ashton kutcher ...

    Mkuu unafikiri mziki wa ashton mdogo we unafikiri anaingiza pesa ngapi kupitia two men and half .mkuu ashton ndio muigizaji wa tv shows aliyeingiza pesa nyingi zaidi us zaidi ya 20m $.usimchukulie poa
  3. G

    utajiri wa diamond kuanikwa forbes...

    Hope so lakini bado ana safari ndefu kufika huko
  4. G

    ray........NEW LOOK

    Inawezekana huu ndo mwonekano wake katika muvi yake mpya inayokuja
  5. G

    Original samsung galaxy s4 inauzwa tsh 770,000

    imetumika muda gani?
  6. G

    htc one xl on sale

    weka picha tuione
  7. G

    Adam na Hawa walikuwa wawili hapo kale?

    mkuu sio lazima uamini sababu hakuna aliyelazimishwa kuamini we endelea tu na maisha
  8. G

    nani anatakiwa kuanza kumvua nguo mwenzie

    mkuu wakubwa mnafanya na nguo au?
  9. G

    Wajue watangazaji vimeo

    mkuu kibonde ni mchambuzi wa nini
  10. G

    Reginald Mengi amwaga Bilioni kwa WAMA

    si walimwambia hana uwezo wa kuwekeza kwenye gesianataka kuwaonyesha
  11. G

    Natafuta sim

    mkuu 600 huuzi
  12. G

    Huyu ndio nani hapo bongo jamani?

    Sioni vizuri au
Back
Top Bottom