Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,794
Mpaka kumi tu tano ndani tano njeNiki inhale nahesabu moja, nki exhale nahesabu mbili sasa hili zoezi nifanye kw muda gni (nihesabu mpaka ngp?)
Mpaka kumi tu tano ndani tano njeNiki inhale nahesabu moja, nki exhale nahesabu mbili sasa hili zoezi nifanye kw muda gni (nihesabu mpaka ngp?)
Hii maada imekuja wakati wake.
Mimi nitaomba kujua jinsi ya kupata kitabu hicho. pia kama naweza kuanza kujifunza meditation.
Mkuu hebu anza kutoa mafunzo japo kwa hatua za mwanzo tu!!
SP
Wanabodi,
Kwa kuanzia naileta tuu kwanza hii hoja hapa, ikipata watu wa kutosha,
tutaomba kwa mode, ifunguliwe jukwaa lake, tutalitafutia jina muafaka,
mfano, "Miujiza ya Ukweli!".
Kitu chenye nguvu kabisa katika mwili wa binadamu ni nguvu inayoitwa
"Will Powers" ambayo kila binadamu, anazaliwa nayo, ila wengine
wanabahatika kwa nguvu hizo kujionyesha bayana, huku wengine wengi
wakiwa nazo bila kujijua kuwa wanazo nguvu hizo!.
Wale wahubiri wafanya miujiza ya uponyaji, wote wanatumia nguvu hizi,
kufanya hayo wanayoyafanya, ila pia, wanga, wachawi, waganga, watabiri,
wavumbuzi, matajiri wa kutisha, watawala wenye nguvu, nao pia hutumia
nguvu hizi kupata mafanikio makubwa katika maisha yao!.
Matumizi ya neno "Katika Jina la Bwana", "Yesu", "Mungu" au jina lolote
utakalotumia, ni kiashiria tuu cha kuufungua mlango wa nguvu hizo, ili
ziweze kutenda miujiza, hata wasiotumia majina hayo, au maneno hayo
huweza kutenda miujiza!.
Matumizi ya nguvu hizo, yanapotumika kutenda mema, huitwa nguvu za
"Mungu", "Yesu", au "Roho Mtakatifu", na nguvu hizo zinapotumika kutenda
maovu kama uchawi, majanga, magonjwa, etc huitwa "Nguvu za giza!".
Kwa vile nguvu hizi kila mtu anazo, hata hao wanaofanya miujiza ya
uponyaji, wanachofanya ni kufungua tuu milango, ili nguvu zilizo ndani
yako, ziweze kutenda hiyo miujiza, na ukipona, kilichokuponya sio huyo
mponyaji, wala lile jina la Yesu, au jina Mungu, bali ni nguvu zilizo
ndani yako!, "the powers from within!".
Hatua ya kwanza ya kufungua nguvu hizi ni "imani" kuamini kuwa "you have
the powers" and that "you can do anything!", or "you can be anybody".
Kuamini Mungu, Yesu, Mtume, Allah, Roho Mtakatifu, Bikira Maria,
Watakatifu, Wachungaji, Wahubiri, Baba Mtakatifu, Sangoma, Sheriffu,
Mlingotini, Chini ya Mti, Chini ya Mbuyu, Mlimani, Pangoni, Kisimani,
Mtoni, Ziwani, Kwa Mganga, Vitabu Vitakatifu etc, ni njia rahisi ya
kuanzia kufungua milango ya "higher power" to open up your doors for
powers from within!" to act on you for you!.
"I know I can, be what I wanna be!"
Wale wenzetu wajanja, waliojitambua kuwa wanazo, wengi wanazitumia
kutengezea mapesa kwa kisingizio chochote kiwe ni cha wahubiri, waganga,
"wazee wa busara", "watenda miujiza", "wafukuza mapepo" kwa kukusanya
sadaka na kujitajirisha, ambao mimi naita ni "wizi mtupu", huku waumini
wakendelea kukamuliwa na kuachwa katika umasikini uliotopea!.
Nguvu hizi zimegawanyika matika makundi mengi tofauti, hivyo nimekuwekea
baadhi ya makundi hapa chini, just take your time kuyatambua,
ujiangalie na wewe unazo nguvu zipi, ili sasa uzitumie nguvu hizo, to
"make things happen!".
This is a list of
psychic abilities that
have been attributed to real-world people. These are also sometimes
known as
extrasensory
perception or a sixth sense. Inclusion in this list does
not imply scientific recognition of the existence of an ability.
Superhuman
abilities from fiction are not included.
- Apportation
- Materialization, disappearance, or teleportation of an
object.[SUP][1][/SUP]- Aura
reading - Perception of the energy fields surrounding people,
places, and
things.[SUP][2][/SUP]- Automatic
writing - Writing produced without conscious
thought.[SUP][3][/SUP]- Astral
projection or
mental
projection - An
out-of-body
experience in which an
"astral body"
becomes separate from the physical
body.[SUP][4][/SUP]- Bilocation
or multilocation - Being in multiple places at the same
time.[SUP][5][/SUP]- Clairaudience
- receiving messages in thought form from another frequency or realm.
It is considered a form of channeling.- Clairvoyance,
second
sig
Mkuu Mshana,Nakubaliana kabisa na wewe Mkuu Pasco, kipindi fulani katika maisha yangu nilitamani sana kujifunza uchawi mwenye tija, nikajikuta nimeangukia kwenye temple moja south Africa iliyokuwa inafundisha Buddhism Yoga meditation na supernatural powers
Yalikuwa ni masomo magumu ya ajabu na yenye kushangaza kwa jinsi yake, kwa ufupi ni kwamba hakuna chenye nguvu duniani kama bongo(mind) ya binadamu, na tunachokitumia katika mind zetu ni theluthi tu ya kile chote kilichopo
Tunafundishwa kuwa kuna 5senses, lakini Zipo 8 ambapo mtu ukiweza kuzifanyia kazi utafanya maajabu mengi , mind ya mwanadamu imejazwa takataka nyingi mno, illusions na dillusions ukiweza kuziondoa kwenye bongo yako ukabaki na pure and stable mind unakuwa mtu mwingine kabisa mwenye maono na nguvu za ajabu mno
Medition ni kitu cha Mwanzo kabisa kuendea kwenye kudevelop supernatural powers, nilifanya meditation zote, chanting, yoga nikiwa vegitarian kwa miaka mitano nikajikuta nabadilika nikaogopa nikaacha , kwakuwa niliona wazimu kuna mafundisho yanapingana waziwazi na imani yangu
Nimeipenda mada yako sana. Nakaribisha maswali na ufafanuzi nimeisoma sana Buddhism, Taiosm, Satanism na Kshna consciousness
Mwenye kupenda hii mambo atafute kitabu kiitwacho Analects: Way and Its Power.
Pasco hebu nijibu hili swali
watu huwa 'wanaibiwa ' huu uwezo?
manake mimi zamani nilikuwa na uwezo wa ajabu wa mambo meengi mno
now naona kama kuna mtu ameniibia hayo mambo,
je nifanyaje?
Mkuu The Boss, hakuna aliyekuibia, hizo powers bado zipo na unazo, ila zimekuwa dormant kwa sababu hazikutumika!.Pasco hebu nijibu hili swali
watu huwa 'wanaibiwa ' huu uwezo?
manake mimi zamani nilikuwa na uwezo wa ajabu wa mambo meengi mno
now naona kama kuna mtu ameniibia hayo mambo,
je nifanyaje?
Pasco huo uwezo wa 'kata funua' bila kusema neno sipati picha
hizo pm za watu uwafundishe utakazopata lol
kikazi je uwezo ako ulikusaidia kupata kazi? kazi ipi kwa mfano?
Mkuu Mshana,
Nakubaliana na wewe, hata mimi kuna wakati niliishi India, nikasoma sana buthiism, na ku practice ayuverda na pranayaana hivo nika turn vegetarian, pia nimemsoma sana krishna, niliporudi bongo, nikajikuta nashindwa ku mix na watu wangu!, kwanza nilianza kuirudia wine, kisha kuendelea kupiga kinywaji na hatimaye kurudia nyama!.
Wakati wa practive ni kweli nilikuwa poweful, nikajikuta badala ya kuishi kwa raha kufuation high state of alert, unajikuta unaishi kwa mateso, mathalan unagundua baadhi ya watu waliokuzunguka wako kinyume na wewe!, au kuna hiyo siku wife alitoka party ya kazini, sixth sense imekuambia mwenzako "tayari" ili kukuzuga, ajajifanya yuko "high!" akihitaji huduma!. "Mzee" aligoma! lakini aliamshwa!, na kwenye "game" ilibidi ajitahidi sana na ku fake "kufika" mapema kuliko kawaida!. Kupitia mazoezi hayo, unaweza kudistinguish "kufika" kweli na "kufika" fake ili kunizunga!.
Unakuja ile genuine trust, love na happyness inayeyuka kwa kujua you are cheated!.
Hivyo info nyingine unaachana nazo for love peace of mind and tranquility ya mahusiano!.
Ndio maana ukiwachunguza matajiri wengi, utagundua they are not real happy!. Unaweza kuwajua kwa kuwatazama machoni!. Nimejiamulia bora kubaki masikini happy kuliko tajiri huzuni!. Na sometime ukifuatilia life stily za hao matajiri, licha kula dinner Kempinsky, hawa enjoy kama sisi tunakula chips vumbi!.
Wee acha tuu!.
Pasco.