Sijui ila nasikia SSB hutoa misaada yake kila Ijumaa na vigezo anavijua yeye mwenyewe.
Uyasemayo yana ukweli. Angalia wale wote wanauza Icecream(Lamba lamba) kwenye vile vibaiskeli vyake ni lazima awe na Kamzuzu,suruali fupi na Kibandiko kichwani!!
Sijui ila nasikia SSB hutoa misaada yake kila Ijumaa na vigezo anavijua yeye mwenyewe.
isije ikawa ni hongo apewe vitalu vya mafuta na gesi
just thinking outside the box
isije ikawa ni hongo apewe vitalu vya mafuta na gesi
just thinking outside the box
Mmmmmmh ! Kwa nini asitoe zote kabsa yaishe
Majizi haya
Ul-Masjid al-harkat al-mujahideen.
Rushwa ni sawa na kinyonga, ina rangi nyinginyingi
ukiangalia kwa upana huu msaada utagundua kuwa hili ni dongo kwa muhongo na naibu wake waziri wanao wadharau watanzania.
Ni kawaida ya freemason. Secret societies ni kawaida yao kwenye masuala ya kijamii.
ukiangalia kwa upana huu msaada utagundua kuwa hili ni dongo kwa muhongo na naibu wake waziri wanao wadharau watanzania.
Hongera Mengi.