Yaani ww ni mvulana, siyo mwanaume kamili. Yaani huo ni ujinga wa 100% kwa mwanaume kumpigia mwanamke magoti. Imeandikwa, mwanaume ndio kichwa cha familia
Kwa kuwasaidia kufungua code, Mshana ameanza kuuliza swali "Likizo itaisha lini?". Ina maana siyo yeye aliye likizoni. Katikati ya maelezo yake, ameelezea mambo kadha wa kadha hususan mambo ya kupenda camera. Lkn mwishoni amemalizia kwa kusema mambo mawili ambayo hutokea kama hujatoka likizoni...
Siyo kosa lako, ila uwezo wako wa kufikiria ndio umeishia hapo. Siyo hoteli zote zina CCTV camera, pia, hata kama inazo, siyo muda wote mtu achungulie camera, anaangalia baada ya tukio kutokea
Niondolee wehu wako hapa, na mama kila kukicha anaupiga mwingi hatua kwa hatua, kama unaona mama anakukera, Dunia ni kubwa hamia nchi nyingine au jifie mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.