Recent content by getmedave

  1. getmedave

    Mzazi mwenzangu kapata mwanamume mwingine akiwa masomoni

    Nashukuru sana Chikaka. Maoni yako yamenijenga mno na ni vigumu sana kuelezea jinsi mawazo yako (na wengine wengi) yamenijenga kisaikolojia kwa muda mfupi sana. i was felling like im going to die, like im a piece of trash, but kwa mawazo yako nimemanage to get myself together, and start afresh
  2. getmedave

    Mzazi mwenzangu kapata mwanamume mwingine akiwa masomoni

    Hii topic niliipost tarehe 31 May siku ya Ijumaa saa moja na dk 23 jioni. kwenye hiyo blog walipost tarehe 1 June (kesho yake). si unajua kusoma? dont be ridiculous. besides, nashukuru wote kwa ushauri wenu, kweli umenisaidia sana sana na nimejifunza vingi sana!
  3. getmedave

    Mzazi mwenzangu kapata mwanamume mwingine akiwa masomoni

    Ndibalema pamoja na kujidai uko smart hujagundua kuwa hivyo viblog uchwara unavyosoma vinakopi habari huku JF??
  4. getmedave

    Mzazi mwenzangu kapata mwanamume mwingine akiwa masomoni

    Maybe hukuisoma hii mada toka mwanzo. mtoto nimemlea tangu akiwa na siku kumi, mama yake akiendelea na masomo. hadi sasa yuko masomoni. sasa atamlea namna gani? atashinda vipi hii kesi ilhali hana vigezo vinavyoonyesha ana uwezo wa kumlea mtoto? atamaliza chuo mtoto akiwa na miaka 6. maybe hapo...
  5. getmedave

    Mzazi mwenzangu kapata mwanamume mwingine akiwa masomoni

    Wakuu I really need ushauri wenu kwenye hili.: Nilipokuwa chuo kikuu third year nilimpa ujauzito girlfriend wangu aliyekuwa anamaliza kidato cha nne. Alijifungua like ten days kabla hajasafiri kwenda kidato cha tano alikopangiwa, wakati huo ndo kwanza namaliza chuo na kurudi nyumbani. So...
  6. getmedave

    Obama accused of being gay!

    this is very true Mr/Ms Rungu. hawa jamaa don't care if ur straight or gay. kuprove hii, hebu nenda kwenye yahoo news hasa ile habari moja kuhusu hiyo policy ya dont ask dont tell ambapo kuna mwanajeshi anaconfess kwa baba yake mzazi kuwa yeye ni gay, halafu andika kitu chochote negative about...
  7. getmedave

    Zembwela amponda Sugu

    nimesikiliza huo wimbo na inabidi tufikie wakati tuache ushabiki usio na msingi. hivi kuna pointi gani zilizoimbwa humo zaidi ya mashudu matupu ya kutembea na gun, Nig**r words, kupelekana jando na pumba kede wa kede. Home of great thinkers right??
  8. getmedave

    Mahakama ya Kadhi: Masheikh wakutana na JK

    kwa kweli ni ze comedy tosha. they say hata ukiendesha gari ni marufuku mke wako kukaa siti ya mbele?
  9. getmedave

    Mahakama ya Kadhi: Masheikh wakutana na JK

    watu gani unaowataja kama wepesi kuua vibaka? waislamu?wakristo?wapagani? na kwa nini nyinyi na mahakama yenu mfuate mfumo huo huo? mnataka kutoa adhabu ya kifo sababu Osama (muislamu) na Saddam Hussein (muislamu) waliuliwa? tatizo lenu mnakumbatia kila kitu mabwana zenu waarabu walichowaachia...
  10. getmedave

    Mahakama ya Kadhi: Masheikh wakutana na JK

    Mbona hujahighlight sehemu zilizoonyesha kuwa waislamu ndio waliofanya NBC ku-recover from a tripling in bad debts? na kama ni hivyo, kwa nini waislamu hao hao washindwe kuanzisha mahakama yao wao wenyewe? sababu wanaonyesha walivyo wazalishaji wazuri na ndo ''wameshikilia uchumi wa nchi hii''?
  11. getmedave

    Mahakama ya Kadhi: Masheikh wakutana na JK

    Kuhusu hicho kitabu cha wakristo unachokiongelea: Yohana 8:7 Walipozidi kumwuliza, Yesu akainuka, akawaambia, "Mtu asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza kumpiga jiwe." Hao mahakimu wa hiyo mahakama watashushwa toka mbinguni wake kukata watu mikono na miguu, sababu wao wenyewe si...
  12. getmedave

    Mahakama ya Kadhi: Masheikh wakutana na JK

    ''Kutiwa SUNA'' ndio nini? mbona inasound kama to be amputated? hebu nieleweshe bwana jitume
  13. getmedave

    Mahakama ya Kadhi: Masheikh wakutana na JK

    ofcourse hiyo mahakama haitapunguza jambo lolote kwa hayo yaliyotajwa hapo juu. wakristo hatuna tatizo na nyie waislamu kuanzisha hiyo mahakama kwa sababu ni suala la imani yenu kwa faida yenu. tatizo ni pale mnapoishinikiza serikali hilo suala liwe kwenye katiba ya nchi, hapo ndipo panapozua...
  14. getmedave

    Mahakama ya Kadhi: Masheikh wakutana na JK

    Kodi mtatoa kama kawaida bwana mdondoaji. mtabaki kulalama kiila siku badala ya kuwapeleka watoto wenu shule.
Back
Top Bottom