ndio mana nilisema wanawake akili zenu moja Na hamna huruma mumewe alijitoa waishi maisha mazuri kapata matatizo sasa Ana achia watu wanamlia jamaa tunda tena Kwa matangazo dunia nzima ijue. Amakweli wanawake tuishi Na nyie Kwa wema but sio watu nyie
Nitasema kweli daima
Leo nimeshangaa sana wakati waziri wa fedha alipokuwa anatoa muongozo Kwa kusema mshahara wa watumishi ulitolewa tokea tarehe 24/5. Ila mifumo ya benk Imechelewesha. Mpaka Leo ndio baadhi ya mikoa watumishi wameanza kupata mishahara dar Es salaam tarehe mbili Baada ya walimu kumibia rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.