Kesho Lazima niondoke Tanga

Kesho Lazima niondoke Tanga

mkuu sina uhakika kama zinaanikwa, maana muda wote zimelowana na mimi naogopa kuuliza kama zinaanikwa, kinachoniogopesha hata sikijui, sijui dawa?

Zishaoza hizo.
 
nina experience ya miaka miwili tanga maana A -level yangu nimesomea huko, yanayosemwa yapo tena sana tuuu...ila ule upinzani wa madada poa kati mademu wa kibongo na mademu wa kihindi kamwe siwezi kuhusahau..tanga ndo sehemu pekee iliyojenga historia ya maisha yangu maana sikuwahi ku date na madada poa (ila tanga ilinibidi)..sijisifii ujinga ila kwa kijana aliekamilika ni kawaida kupitia mambo haya kabla ya uzee.
 
Nasubiri mrejesho hiyo kesho.

C.C JEKI
 
Last edited by a moderator:
Maji ya kuoga kwa mdalasin, haya kaka

tuambiane chumbageni au?
 
Duu chotara wa kihindi+ mwarabu!tanga jamani tanga sipasahau
 
!
!
You've got to know when to hold 'em
Know when to fold 'em
Know when to walk away
Know when to run........
 
Nimeingia Tanga tokea wiki iliyopita kwa kazi binafsi, kama mnavyojua mambo ya Tanga, msemo wa waja leo warudi leo haupo tena, wanasema waja leo kurudi majaliwa, kwa kweli kuondoka imekuwa majaliwa, kila nikipanga kuondoka linaibuka jipya, hadithi za kwamba ".... oh mpenzi nguo nimeloweka..." nilikuwa nazisikia tu, kuna zaidi ya hayo, ukarimu wa watu hawa umepindukia jamani, nimeapa kesho liwalo na liwe, nitaondoka na nguo mbichi na hata ikibidi bila nguo, potelea mbali.

Muwapige tuu!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom