Mnachofanya ni sawa na MTU mwenye Duka anampandishia Bei mteja mkuu sababu ananunua bidhaa zaidi ya wengine.
Wakati kiuhalisia angethaminiwa kwa kupunguziwa gharama na kupata offer zaidi.
Kwa kweli naomba Vodacom muwafikirie Wateja wanaojiunga vifurushi mara kwa Mara wawe wanapunguziwa gharama na Sio kuongezewa gharama kama mnavofanya saizi!!!!!! HILO NDIO OMBI LANGU
Siku hizi watu wanafuatilia sana tamthilia kwenye TV au mitandao sio kupekua makaratasi kama zamani. Nakumbuka vitabu kama sikisei Wile Gamba Zawadi ya ushindi daaaa
Dada nahisi bado unampenda. Fanya mrudiane. Sababu inaonekana unamfuatilia vizuri. Pia kumbuka wanawake wengi huwalisha madawa wanaume, usikute alilishwa Dawa na huyo bint
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.