Kuna mme mwenza mwingine. Hadi ukashtukia, manake hio text haikupangwa kuja kwako. Kaituma kwako kimakosa. Hio ni ya mme mwenza. Hapo pa kumdaka ni kumwambia nimegundua unani-cheat na namjua huyo mtu ulikuwa unatuma hio text kwake. NIAMBIE UKWELI NITAKUSAMEHE, AU UKINIDANGANYA NAKUACHA UENDELEE NAYE. Ila subiri muda kidogo ndio uitume. Ionekane umefanya uchunguzi kidogo"Nakupenda sana mume wangu sina mwengine zaidi yako" Je, kuna usalama kweli wakuu? Niko mbali na mke wangu, then from nowhere kanitumia hiyo text.
Kumbe wiki ilishapita. Mambo yaliendaje?"Nakupenda sana mume wangu sina mwengine zaidi yako" Je, kuna usalama kweli wakuu? Niko mbali na mke wangu, then from nowhere kanitumia hiyo text.
Siyo Wabongo tuna shida bali ni yeye pekee ndiye ana hiyo shida.Wabongo jamani mnashida sana.
Mtu anatuma sms nzuri kwa mumewe yeye anahoji?
Ulitaka aambiwe nani?
Ushaanza kudoubt...daaa kazi kwelikweli....
Umezoa sms za mume wangu, mtoto anaumwa, nitumie hela ya chakula
Ndo nin kututia nyegezi hivi wenzioo
Mitano TenaAmegundua wewe unamvumilia na bwawa lake, jamaa aliyemla amempa makavu kabisa na amemuambia asimzoee
Mitano TenaWewe endelea kukuna nazi, wenzio wanachapa ubwabwa. Hapo ujue demu lako limeshakunwa kisawasawa na lijari la kitaani na sasa anakusanifu fala wake.
Mnamchochea mdauHuyo katoka kumegwa kakuta alivyotarajia sicho alichokipata anajutia nafsi yake
Pengine alijua atakutana na show kali kuliko yako amekuta tofauti