😂😂😂 unaweza tu hata umekaa mahali akakumwagia petrol chap akakupiga kiberiti usiamini mkuu. Wembe ni ule ule.😅 kikubwaa kwenye mgogoro hapo tena sio mkeo usiende lala kwake.
Sawaa mkuu lakini hili ni jukwaa la mapenzi usitake tuwaze mbali. Ila maneno yote sio mageni kwangu anal nimewahi kuisikia kwenye biology na fissure kwenye physical geography kumbe combination yake ni ugonjwa 😄
😂 Rosi rois Mimi nazijua mkuu iyo ya jamaa Kuna kitu kinanitatiza hadi niingie ndani ndo ntaweza kufanya conclusion Kama ni fake au lah😅,, mm Sina hata passo wivu unanitesa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.