iloveguinness
Senior Member
- Oct 31, 2010
- 176
- 90
Sasa story imeishia vipi?
huo ndo uamuzi wa kiume. Funga koki askie kiu mpaka koo likauke.Yaan hyo kususa niliopanga kuufanya mwez mzima huu..atajuta..hapa katuma msg nmekaa kimyaa...tena kanipa sababu aisee..nahis kama amenisaidia aisee..yaan hata kuja ona hela yangu
We huna hasira. Ungekuwa na hasira ungeshachukua maamuzi magumu, huu uzi tusingeuona hapa...Nna hasira vibaya mno..hapa nilitaka toka kidogo nikanunue tuvitu fulan sasa sina hata mia..
Chai kabisa hii, yaani et ma kuku hayakauki na mfukoni una laki mbili na bado unalalamika et maisha magumu, chai ya baridi kuinywa asubuhisubuhi hivi inakera sanaWakuu siku mbili tatu hizi kuna majukumu makubwa nimefanya sasa kwa asilimia kubwa nimekwangua mfuko wangu na akiba karibu asilimia 80.
Sasa nikabaki na kapesa kadogo kakusukuma siku mbili tatu.
Sasa kuna bint huyu shemej yenu kaja hapa kwangu tokea siku ya sabasaba kaondoka leo mda si mref...huyu bint yan sijui..akil yake huwa ni nin..huyu bint aliniomba kias flan cha pesa nkamwambia sina kwasasa nmetumia hela nying mda si mref.
Huyu binti toka hiyo siku anaongea vimaneno maneno vya kukera tokea hyo j5 had jana nkamwambia wee ndugu yangu una tatzo gan...akanijib wee kama huna hela mbona tunakula makuku na kunywa kila siku hapa...nkamwambia hvyo unavyokula umeona nimetoka nje kwenda kununua?au unakula vilivyohifadhiwa kwenye jokofu ..unapika na kula...bas toka hyo siku ya j5 anakunja mdomo tu..sasa.
Ndan kwenye surual nilikua kama na lak2 hiv..ya kusukuma gurudum ....sasa sjui kanipekua..yaan huwez amin...binti kachkua hyo hela yoote...hapa nmebak na korodani zangu tuu.
Ila nna hasira had natetemeka..halaf katuma msg..ndio nimechkua hela..
Well...kiukwel mim mtu kuchkua hela bila ridhaa sipend....yaan dah..well..hyo hela sio ishu.magoli yangu yananipa tu hata kesho asubuh...ila sasa unachkuaje hela namna hyo?
Inamana tumezoeana sana ama?
Hiv kosa kama hili si la kumuacha kabisa binti huyu au ni hasira tu wakuu..hahahah
Uzi tayar...
So far mpaka sasa kashathibitisha yeye ni zaidi ya dhaifu...huo ndo uamuzi wa kiume. Funga koki askie kiu mpaka koo likauke.
uspomfundisha adabu katika hilo kosa alilotenda atakuona mdhaifu.
Jamaa anamega dadaake Mwigulu Nchemba. Mi namshauri ahamie zake BurundiHadi anakutumia msg "nimechukua hela" maana yake kaondoka na haujamtoa sio?!
So far mpaka sasa kashathibitisha yeye ni zaidi ya dhaifu...
Sasa kama demu anakuibia laki 2, ukimpandisha cheo kuwa mke si atakuibia korodani kabisa?
Siwez oa hii manzi asee...nakula nae ujana tu...matatoo hayo yote naoaje kwa mfano
Kasema demu ana matattoo ya kutosha. Basi nimeshaelewa....ila anaonyesha ana chembechembe za kujielewa mana kasema hawezi kumuoa.
hujaelewa kunzidi mimiKasema demu ana matattoo ya kutosha. Basi nimeshaelewa....
Hahahaa sikujua na wewe ni jiniaz kama mimi... tumtafute binti wa Mwigulu Nchemba tumkamue tozo tumlipizie mzembe kisasi...hujaelewa kunzidi mimi
Achana na hiyo makituWakuu siku mbili tatu hizi kuna majukumu makubwa nimefanya sasa kwa asilimia kubwa nimekwangua mfuko wangu na akiba karibu asilimia 80.
Sasa nikabaki na kapesa kadogo kakusukuma siku mbili tatu.
Sasa kuna bint huyu shemej yenu kaja hapa kwangu tokea siku ya sabasaba kaondoka leo mda si mref...huyu bint yan sijui..akil yake huwa ni nin..huyu bint aliniomba kias flan cha pesa nkamwambia sina kwasasa nmetumia hela nying mda si mref.
Huyu binti toka hiyo siku anaongea vimaneno maneno vya kukera tokea hyo j5 had jana nkamwambia wee ndugu yangu una tatzo gan...akanijib wee kama huna hela mbona tunakula makuku na kunywa kila siku hapa...nkamwambia hvyo unavyokula umeona nimetoka nje kwenda kununua?au unakula vilivyohifadhiwa kwenye jokofu ..unapika na kula...bas toka hyo siku ya j5 anakunja mdomo tu..sasa.
Ndan kwenye surual nilikua kama na lak2 hiv..ya kusukuma gurudum ....sasa sjui kanipekua..yaan huwez amin...binti kachkua hyo hela yoote...hapa nmebak na korodani zangu tuu.
Ila nna hasira had natetemeka..halaf katuma msg..ndio nimechkua hela..
Well...kiukwel mim mtu kuchkua hela bila ridhaa sipend....yaan dah..well..hyo hela sio ishu.magoli yangu yananipa tu hata kesho asubuh...ila sasa unachkuaje hela namna hyo?
Inamana tumezoeana sana ama?
Hiv kosa kama hili si la kumuacha kabisa binti huyu au ni hasira tu wakuu..hahahah
Uzi tayar...
Wewe si tajiri mkuu mtoaji, ngoja akufundishe adabu alafu ameshakutawalaaHahahahhaa...sjui kajiamin nin..hajawai hata fanya hiv...hata sku1...na nimemlilia sana kwamba hali ni mbaya. Atulie ntampa tu hyo hela..ujue wanawake hawana huruma kaka
Huyo dem ni ambasada wa tozo....Jamaa anamega dadaake Mwigulu Nchemba. Mi namshauri ahamie zake Burundi