[emoji23][emoji23][emoji23]Dah kweli Lukuvi hapa ulikosea wachaga hawachukulii mikopo nyumba za vijijini na thamani ya hayo majumba ni hayo makaburi hapo ndio maana tunapaita nyumbani... Mzee wangu nakuheshimu sana lkn kwenye hili ungeomba uzoefu kidogo hata na takwimu kutoka kwenye mabenki...
Kijana kama unampango wakuandamana hakikisha umepata sababu kumi kwanini unataka kuandamana kama hazifiki kumi kitulize kwenu au kwako usitie watu kwenye gharama za kukupeleka hospital wakati hujui unatetea nini. Usifananishe Tanzania na huko kwa wenzetu nje hii ni Africa utapigwa halafu...
Sidhani kama polisi wanaweza kukamata watu bila kuwa na makosa na uzuri waliokamatwa ni wanasiasa ni watu wanaojua sheria. wasingeweza kuekwa ndani bila arrest warrant
Lowassa hawezi kuitesa CCM. Lkn anabakia kuwa kama onyo kwamba mwanaCCM akiondoka yatamkuta yaliyomkuta Lowassa. So that of course is a publicity lkn ni kuwa maarufu kwa kupoteza
Sioni kama Maghufuli anakosea mahali na sidhani kama aliyetoa hio post kama anaelewa nini Maghufuli anafanya. Hajaribu kufanya socialism anajaribu kila mtu ale kwa jasho sio ujanja ujanja. Nina mfano mzuri kuna jamaa alifanya kazi karibia mwaka mzima kama kibarua ofisin tena ofisi za serikali...
Wakuu habari za leo. Nauliza kuna mtu yoyote anayefahamu kuhusu biashara ya mpunga Morogoro bei ya shamba, mjini na faida unayoweza kupata mtaji wa kuanzia. Kwa ujumla kama mtu anarough draft ya biashara ya mpunga Morogoro naomba anisaidie.
Siasa za upinzani za sasa nchini kwetu naona zimeishiwa mbinu sasa wanaanza kuwa na mbinu kama za mtoto anaeyechapwa halafu anasusa kula na kuongea kama anamkomoa mtu anasahau kua yeye bado ni mtoto na baba yake ndo anampa kila kitu
ama kwa hakika huu mchezo hauhitaji nguvu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.