Mimi nilipewa Taarifa na mkuuu wangu wa Kazi muda huo huo nikaugua ghafla wakanipeleka hospital kuongezewa Maji ninavyoandika muda huu ndo nmetoka hospital baada ya kusikia Anaendelea vizur...
Tundu Antipas Lisu Anapotamka jambo Lumumba na Serikali yake yote hupata Uchizi hivyo kupelekea kukamatwa ili asiambukize wengine Uchizi haaaaah. Ila yana mwisho tutaelewana tu siku moja.
Kuna MTU nimesoma comment ake anasema wana singida mashariki hawampendi Lissu sasa naomba anijibu nani ni mbuge wa singida? Na kama ni Lissu anawezaje kusema hawampendi!
Mimi ni mwanachadema damdam,lakin tusimhukumu Sitta kwa kujenga hilo hekalu,unajuaje kama alitumia pesa za uma je kama alitumia mkopo kutoka benki tutajuaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.