Recent content by GeorgeGab

  1. GeorgeGab

    Toolbox ya vifaa vya plumbing kwa ajili ya fundi

    Tu ni kwa ajili ya kazi,
  2. GeorgeGab

    Toolbox ya vifaa vya plumbing kwa ajili ya fundi

    Naweka uzi huu kwa dhumuni la kutaka kujua ghalama ya Toolbox complete ya vifaa vya plumbing au hata ukiweza kuniunganisha na wauzaji wa vitu hivo. mjumuisho uwe ni wa vifaa kama vile Pipe Wrench To 3" Plizer Tape measure Hack saw complete Pipe Vice Hammer Die 1.5" Die 1" Die 3/4" Die 1/2"...
  3. GeorgeGab

    TOOLBOX YA VIFAA VYA PLUMBING KWA AJILI YA FUNDI

    Naweka uzi huu kwa dhumuni la kutaka kujua ghalama ya Toolbox complete ya vifaa vya plumbing au hata ukiweza kuniunganisha na wauzaji wa vitu hivo. mjumuisho uwe ni wa vifaa kama vile Pipe Wrench To 3" Plizer Tape measure Hack saw complete Pipe Vice Hammer Die 1.5" Die 1" Die 3/4" Die 1/2"...
  4. GeorgeGab

    Kujiendeleza Elimu ya juu yaani Degree.

    Thanks... sasa hivi ndio nimemaliza kutuma. nasubiri majibu kutoka kwao
  5. GeorgeGab

    Ilikuwa unfanyie surprise ukakutana na zinga la surprise wewe utafanya nini?

    mmmh hapo pagumu. itabidi uwe tu room service
  6. GeorgeGab

    Kujiendeleza Elimu ya juu yaani Degree.

    Cool.. Cool... But, I already got somewhere to start..... Thanks to Mr Pilot Joseph
  7. GeorgeGab

    Kujiendeleza Elimu ya juu yaani Degree.

    Foundation course inakuwaje hii Mr Joseph.... tell me more please.
  8. GeorgeGab

    Kujiendeleza Elimu ya juu yaani Degree.

    Mimi ni mhitimu wa Diploma ya Water supply engineering kwa ufaulu wa GPA ya 2.4,Lakini napenda kujiendeleza nisome elimu ya juu degree kwa course inayohusiana na mambo hayo. sasa naombeni kujua ni taratibu gani naweza fuata niweze fanikisha adhima yangu,,,, ikiwa kwamba sina kigezo cha kuwa na...
  9. GeorgeGab

    Kwa wajuvi wa Biashara au wajasiriamali

    Habari wanaJFrm... Tupeane madini hapa. Ni Misingi gani unaweza mpatia kijana mwenye KIU ya kuingia katika safari ya Ujasiliamari na apate kufanikiwa.
  10. GeorgeGab

    Wazee wa kukimbia bill bar tukutane hapa kwa new tactics & teqniques

    Mhudumu wa Baa.. Nafmfatilia huu uzi vizuri sana.
  11. GeorgeGab

    Lazima kichaa anizalie mtoto

    Jamaa unanikumbusha huku mtaani juzu jamaa wamekamatwa wakibaka kichaa usiku.
  12. GeorgeGab

    Mazao

    Mazao ambayo nimepanga kuanza nayo ni... Mchele, Mahindi, Maharage na Karanga.
  13. GeorgeGab

    Nimeokota bahasha ya vyeti vya mtu

    [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Back
Top Bottom