GeorgeGab
Member
- Nov 24, 2017
- 41
- 17
Mimi ni mhitimu wa Diploma ya Water supply engineering kwa ufaulu wa GPA ya 2.4,Lakini napenda kujiendeleza nisome elimu ya juu degree kwa course inayohusiana na mambo hayo.
sasa naombeni kujua ni taratibu gani naweza fuata niweze fanikisha adhima yangu,,,, ikiwa kwamba sina kigezo cha kuwa na GPA ya 3.0...?
sasa naombeni kujua ni taratibu gani naweza fuata niweze fanikisha adhima yangu,,,, ikiwa kwamba sina kigezo cha kuwa na GPA ya 3.0...?