Nimeokota bahasha ya vyeti vya mtu

Nimeokota bahasha ya vyeti vya mtu

Peleka redioni huwa wanatangaza...kama una nafasi peleka clouds kesho asbh huwa wanasaidia sana kutangaza
 
Ripoti kituo cha polisi au Nenda Nida itakuwa rahisi kumpata
 
Habari za jioni wapendwa kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimeokota bahasha yenye vyeti vya mtu vyeti vyenyewe ni vya kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu pamoja na vyeti vya kuzaliwa sasa sijui nifanyeje ili mwenyewe awezeaweze kuvipata mawazo yenu please

WAtu wengi hupotelewa vitu kama hivo. Ni vizuri ukasema angalau sehemu moja aliyosoma ama alikozaliwa ili kumpata. Ukisema bahasha ya vyeti tu saasa mhusika atafahamu naman gani?

Wanaokushauri kupeleka polisi ni sahihi lakini huko vinaweza kupotea mazima. Tangaza hapa kwa kuwa hata hapa ni ushahidi kuwa umetangaza.

Usitaje jina, taja chuo kimoja aliposoma ama alikozaliwa. Jinalake in full na vingie iwe password yake kumpatia.
 
Kuna jamaa anaitwa mathias amepoteza vyeti vyake huko rorya kama ni hivyo msaidie. Namba 0629065404
 
Habari za jioni wapendwa kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimeokota bahasha yenye vyeti vya mtu vyeti vyenyewe ni vya kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu pamoja na vyeti vya kuzaliwa sasa sijui nifanyeje ili mwenyewe awezeaweze kuvipata mawazo yenu please
please tuwasiliane 0715500857
 
Adi namtaman aliyepata vyeti vyake.. U a such a nice person..coz sio wote wanaokota wanatangaza till mwnyw anavipata... Mungu akuongoze uwe Na moyo uwo uwo....
Inshallah Madame
 
Angalia isijekuwa kuna mtu kanyongwa/kauwawa na kuibiwa na hao wakora wakaamua kuvitupa hivyo vyeti mkuu tukakosa wema wako huku.
 
Back
Top Bottom