Recent content by George Kivuyo

  1. George Kivuyo

    Godbless Lema: Nitaenda gerezani kumtembelea Sabaya

    Nenda tuu kamsalimie rafiki yako
  2. George Kivuyo

    Mkataba wa Dejan Georgijevic, Mzungu wa Simba Wavunjwa

    Mimi naona bora asepe zake kwani hakuwa na msaada wowote kwenye timu.Bora aachie nafasi ili klabu isajili mtu mwenye msaada.
  3. George Kivuyo

    Charles Kitwanga: Sioni umuhimu wa Nchi kufanya Sensa kila baada ya miaka 10

    Siamini kama kweli Kitwanga hafahamu umuhimu wa sensa
  4. George Kivuyo

    Hali tete Simba: Mo apaniki tena, aushinikiza uongozi uchukue hatua kwa mechi ya leo

    Ila huyu boss huwa ni mwepesi wa kupanic ,mpira wa miguu una matokeo ya kikatili mno.
  5. George Kivuyo

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hii Liverpool sasa sifa,unamfungaje mkubwa mwenzako goli zote hizo?
  6. George Kivuyo

    Maulid Kitenge aondoka Wasafi FM

    Aisee kuna watu wanakula maisha
  7. George Kivuyo

    Nimefulia wandugu, Mshahara Juni 2021 tayari?

    Endelea kuwa na subira mdau
  8. George Kivuyo

    Mwalimu adaiwa kumpa mimba mtoto wa mwalimu mwenzake

    Huyu mwalimu amefanya kitendo ambacho ni kibaya mno,anyway vyombo vinavyohusika viendelee na msako wa kumsaka huyo mwl na kumpeleka kwenye vyombo vya sheria
  9. George Kivuyo

    Spika Ndugai: Mbowe alikuwa Ulaya sasa katumwa na watu wake anapotosha kuhusu ripoti ya CAG

    Spika angepambana na CAG kwa hoja badala ya kumshambulia Mbowe kwamba anapotosha ripoti ya CAG
  10. George Kivuyo

    Rais Samia Suluhu, Waganda wamekupigia 'Salute' kwa Kiingereza chako kizuri japo huna PhD yoyote

    Ila kusema kweli,mheshimiwa rais wetu alizungunza kingereza kizuri.Hongera kwake
  11. George Kivuyo

    Australia kupeperusha bendera yake nusu mlingoti siku ya leo kuenzi kifo na mazishi ya Hayati Dkt. Magufuli

    Hongera Australia kwa kutuunga mkono kwenye maombolezo ya kufiwa na rais wetu wa awamu ya tano
Back
Top Bottom