Ndugu zangu nimeanza kufuatilia huu uzi tokea 3/09/2022, nikafanya interview nne, mbili nikaingia oral mbili nikaishia written
Leo hii na mimi nimeliona jina langu ndani ya pdf. Mungu ni mwema sana ndugu zangu,
Kwa ambao bado, hakuna kukata tamaa, tupambane bila kuchoka wakati wenu utafika pia.
Watu wanataka proof ya kwamba mtu wa not selected aliyepata placement[emoji28][emoji28][emoji28]
Anyway mshaambiwa wao hawahusiki sasa sijui nani huwa anazibadilisha?[emoji848]
IT wa utumishi unayokazi kubwa sana ya kufanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.