Recent content by Geoid

  1. Geoid

    Tunaofuatilia kazi za bomba la mafuta Uganda -Tanzania (EACOP) DIT tukutane hapa

    Duuh kumbe siku hizi whatsapp ukiwa removed huwezi rudi tena Ni hatari Mimi sio admin nadhan yupo humu atakuadd
  2. Geoid

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
  3. Geoid

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ndugu zangu nimeanza kufuatilia huu uzi tokea 3/09/2022, nikafanya interview nne, mbili nikaingia oral mbili nikaishia written Leo hii na mimi nimeliona jina langu ndani ya pdf. Mungu ni mwema sana ndugu zangu, Kwa ambao bado, hakuna kukata tamaa, tupambane bila kuchoka wakati wenu utafika pia.
  4. Geoid

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    IT anaendelea alipoishia ni pdf juu ya pdf[emoji95]
  5. Geoid

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana mkuu, wakati wako wa kuwa mtumishi umefika
  6. Geoid

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wenye kada zao waliobahatika waje washuhudie tuwapongeze
  7. Geoid

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hao wapambanaji walipotea kimya kimya
  8. Geoid

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Huyo dada ni Maryjuan sio?
  9. Geoid

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  10. Geoid

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Watu wanataka proof ya kwamba mtu wa not selected aliyepata placement[emoji28][emoji28][emoji28] Anyway mshaambiwa wao hawahusiki sasa sijui nani huwa anazibadilisha?[emoji848] IT wa utumishi unayokazi kubwa sana ya kufanya
Back
Top Bottom