Recent content by Geofstars

  1. Geofstars

    JamiiForums Tanzania GE2020 Acheni utani, upinzani hakuna mtu wa kuweza kusimama na Rais Magufuli kwenye uchaguzi mkuu Oktoba

    Kwa juhudu alizozionesha mheshimiwa rais John Pombe Magufuli katika taifa letu, ni dhahili kuwa upinzani hawana nafasi tena ya kupambana na kupindua meza ifikapo mwezi octoba mwaka huu. Juhudi za kuinua uchumi wa Tanzania na kuifanya nchi yetu kuwa kati ya nchi chache barani Africa zenye uchumi...
  2. Geofstars

    JamiiForums Tanzania Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Nimejaribu kujitutumua na kukusanya laki mbili na elfu sabini napenda kufanya biashara. Ni biashara ipi itaniinua, nipo Dodoma central zone.
  3. Geofstars

    JamiiForums Tanzania Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Nimejaribu kujitutumua na kukusanya laki mbili na elfu sabini napenda kufanya biashara. Ni biashara ipi itaniinua, nipo Dodoma (Central Zone)
  4. Geofstars

    JamiiForums Tanzania Dongfeng-41: Kombora jipya la Jamhuri ya Watu wa China ni ujumbe tosha kwa Marekani na Urusi?

    Mikataba ya kuzuia uzalishaji wa haya mabomu inafeli wapi UNSC is the toothless dog Next episode os 3rd world war
  5. Geofstars

    JamiiForums Tanzania "SSD SOLUTION"

    Naomba ufafanuzijuu ya hii chemical matumizi yake na athari yake
  6. Geofstars

    JamiiForums Tanzania Tanzania ivunje uhusiano wa kibalozi na Uingereza na Marekani, mabalozi wapewe saa 24 waondoke. Wanaingilia mambo ya ndani ya nchi yetu

    Naona ww hujaelewa hoja iliyowasilishwa hapo.....kila nchi ina sovereignty na haitakiwi kuingliwa na nchi yoyote....ndo maana jamaa katoa ushauri juu ys hawa maboya kuingilia masuala ya Tanzania
  7. Geofstars

    JamiiForums Tanzania Nani kajibiwa na NIDA baada ya kutoa 100/=?

    Wameshakula 1000 yangu
  8. Geofstars

    JamiiForums Tanzania Dijk- "Sijui tutamzuia vipi Messi"

    Hamna beki hapo....beki gani hyo anakua na wasiwasi na kiumbe dhaifu kama messi.Bado ajakomaa kama akina Ramos
  9. Geofstars

    JamiiForums Tanzania Uongo haudumu: CHADEMA wanasema Trilioni 1.6 Zitto anasema ni Trilioni 4.8

    Upinzani kwa mwendo huu watapotea kwa siasa za Tanzania...taarifa zinakinzana na report ya CAG Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Geofstars

    JamiiForums Tanzania NI kazi zipi ambazo Profesa Musa Asadi anaweza kushirikiana na Bunge Kama mtu TU bila kuambatana na cheo chake

    [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Geofstars

    JamiiForums Tanzania NI kazi zipi ambazo Profesa Musa Asadi anaweza kushirikiana na Bunge Kama mtu TU bila kuambatana na cheo chake

    Anaweza kushirikiana na bunge kama raia wa kawaida mbali na cheo cheke. Kama ilivyo kwa wageni mbalimbali waotembelea mikutano ya BUNGE Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Geofstars

    JamiiForums Tanzania HELP ME PLEASE!!!

    Nikutumie nn Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Geofstars

    JamiiForums Tanzania HELP ME PLEASE!!!

    How to break up[emoji174] [emoji174] Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Geofstars

    JamiiForums Tanzania Pius Msekwa: Maamuzi ya Bunge kwa CAG hayajawahi kutolewa mahali popote duniani

    Nimeukumbuka uongozi wa spika Anna Makinda. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom