Recent content by genuinegnm

  1. G

    Michuano ya Jumuia ya Madola, Glasgow 2014

    ndiyo ni futuhi! tanzania ipewe ushindi Wa viti maalum banaa,ilimradi posho imeingia kinywani,hakuna tofauti na wabunge wao
  2. G

    Kama Serikali ya Tanzania haina dini, Mungu anayetajwa katika wimbo wa taifa ni yupi?

    hawana msamaha hawa, sasa mpaka siku hizi upanga umewageukia Wenyewe kwa Wenyewe, Libya, Iraq, Sudan, Nigeria, Mali,syria, Naona waislam wengine wamegeuka makafiri. madhehebu ya wakristo ata yawe mangapi na kupishana mtazamo haiwezekani kukatana mapanga, ingekuwa nguvu ya kijeshi ya dunia...
  3. G

    Takwimu za swali la kipimajoto la ITV

    ameandika vibaya bwana, iliuliza ivi-kitendo cha ukawa kususia bunge la katiba,ndio muafaka Wa kupata katiba mpya, na 70% wakasema ndio
  4. G

    Kwanini walio nje huwawia ngumu kurudi nyumbani? Tuwasaidiaje?

    wapo wazungu pia wapo tanzania na hawataki kurudi kwao,kama hakuna mbingu na kuzimu ya watanzania peke yao,basi hii dunia unaweza ukatinga popote kama una moyo huru,ulaya si kwa wenye elimu tu. juzijuzi tu ujerumani imepitisha kima cha chini cha 15,000tsh kwa saa,sasa kwa masaa 10 ni...
  5. G

    Wapalestina Walimsaidia Amini wakati wa Vita ya Tanzania na Uganda!

    tanzania ilimpuga iddi amini pia israel iliipiga iddi amini
  6. G

    Wapalestina Walimsaidia Amini wakati wa Vita ya Tanzania na Uganda!

    wabongo nao unafiki tu, palestina mnawajulia wapi,pelekeni majeshi yenu basi ya Amani Gaza. palestina kitu gani,watu hâta hawajihurumii wenyewe.wapo weusi central africa,sudan ,Kenya wakilipuliwa mbona hamsemi. mi sipendi kabisa.wanalopoka huku wanakula futari,palestina labda watawapa tende
  7. G

    Ni vitu gani huwafanya kutotimiza malengo yao maisha

    kila mtu anacho alicholetewa kukitimiza duniani,ukiweza shauri . lengo lako wewe si la mwingine. nyerere hakuwa na nyumba ya hadhi yake lakini uhuru na wosia kwa nchi hii ndo ilikua faraja yake,na ndo malengo Yake. ata kama utamiliki ghorofa 10 uezi fikia heshima yake.
  8. G

    Kwanini viongozi wa Serikali Wakristo huvaa Kiislamu?

    alivyofufuka alipewa mamlaka yote akatoa fungulia ng'ang'a. mamlaka yote mbinguni na duniani nimepewa,enendeni duniani kote mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu. na wewe upo
  9. G

    Kwanini viongozi wa Serikali Wakristo huvaa Kiislamu?

    wakati Wa yesu hakukuwa na islam,Bali wasabato washika torati ya Musa,walikwazika yesu kuponya sabato. torati kiukweli haituhusu sisi wala waislam Bali wayahudi. kumbuka torati mungu aliwapa wayahudi walio uzao Wa yakobo,wakiyolewa utumwani misri.pindi hiyo ishmael alikua ashafukuzwa Kabila...
  10. G

    Obama Ashambuliwa, Aitwa Nyani Mwafrika mshenzi, aambiwa arudi porini...!

    wapo nyani wenye ngozi nyeupe pia, watu weupe pia walitokea kwao basi
  11. G

    Saudi Arabia bans 50 baby names

    mtu anatoa analopenda mzazi bwana,duniani ni kwa muda,nini kukomplicate mambo. mbingu ni moja hakuna ya mchaga wala mmakonde,tabu iko wapi,asili kitu gani,ili mradi utende mazuri kwa wanadamu wote
  12. G

    Hongera sana TV Imaan Tanzania kwa kupata kibali

    ata zikiwa arobaini ,kama imani haiwezi kupona ata mafua kwa jina la mtume, ya kazi gani. kujiridhisha tu, mungu gani hana nguvu. kuweka TV si kipimo cha kiroho,kuna matajiri kibao hawaamini mungu na wana TV kibao za ngono
  13. G

    Maandamano barabara ya Kawawa

    ndo ivo, na haya hizi ndizo ziwafanya waarabu kuja afrika na kufanya utumwa, waliwaacha wakifa kwa kiu na maji,unaeza ona.
  14. G

    Maandamano barabara ya Kawawa

    sasa ata mkijifanya waislam , msikitini waarabu wanawachukulia ni vijakazi wao tu. ndo maana sheikh Wa kiarabu anaheshimiwa kuliko wa kibongo.
Back
Top Bottom