hawana msamaha hawa, sasa mpaka siku hizi upanga umewageukia Wenyewe kwa Wenyewe, Libya, Iraq, Sudan, Nigeria, Mali,syria,
Naona waislam wengine wamegeuka makafiri. madhehebu ya wakristo ata yawe mangapi na kupishana mtazamo haiwezekani kukatana mapanga, ingekuwa nguvu ya kijeshi ya dunia...
wapo wazungu pia wapo tanzania na hawataki kurudi kwao,kama hakuna mbingu na kuzimu ya watanzania peke yao,basi hii dunia unaweza ukatinga popote kama una moyo huru,ulaya si kwa wenye elimu tu. juzijuzi tu ujerumani imepitisha kima cha chini cha 15,000tsh kwa saa,sasa kwa masaa 10 ni...
kila mtu anacho alicholetewa kukitimiza duniani,ukiweza shauri . lengo lako wewe si la mwingine. nyerere hakuwa na nyumba ya hadhi yake lakini uhuru na wosia kwa nchi hii ndo ilikua faraja yake,na ndo malengo Yake. ata kama utamiliki ghorofa 10 uezi fikia heshima yake.
alivyofufuka alipewa mamlaka yote akatoa fungulia ng'ang'a. mamlaka yote mbinguni na duniani nimepewa,enendeni duniani kote mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu. na wewe upo
wakati Wa yesu hakukuwa na islam,Bali wasabato washika torati ya Musa,walikwazika yesu kuponya sabato. torati kiukweli haituhusu sisi wala waislam Bali wayahudi. kumbuka torati mungu aliwapa wayahudi walio uzao Wa yakobo,wakiyolewa utumwani misri.pindi hiyo ishmael alikua ashafukuzwa Kabila...
mtu anatoa analopenda mzazi bwana,duniani ni kwa muda,nini kukomplicate mambo. mbingu ni moja hakuna ya mchaga wala mmakonde,tabu iko wapi,asili kitu gani,ili mradi utende mazuri kwa wanadamu wote
ata zikiwa arobaini ,kama imani haiwezi kupona ata mafua kwa jina la mtume, ya kazi gani. kujiridhisha tu, mungu gani hana nguvu. kuweka TV si kipimo cha kiroho,kuna matajiri kibao hawaamini mungu na wana TV kibao za ngono
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.