Michuano ya Jumuia ya Madola, Glasgow 2014

Michuano ya Jumuia ya Madola, Glasgow 2014

Bila Wizara ya Michezo kuwa na Waziri wa Michezo pekee pasipo kuchanganya na mambo mengine ,Michezo haitakaa ikue tutendelea Kuwa mabingwa wa kuongea tu bila vitendo.
 
Andaa Mashindano ya VISINGIZIO na MANENO BILA VITENDO hapo utaona Tanzania ikinyakua medali Kama mvua.

Muda huu kina Mzee Filbert Bayi na wenzake, wanaandaa buku visingizio vya kuja kuwaambia wanahabari watakaporejea.

Yaaani wabongo tungeumbwa Nyoka, tungekuwa tunashinda vijiweni kusubiri fadhila, na kama Mungu angekuja kutuhoji " nyie mbona hamjishughulishi, mtakufa njaa ? tungemjibu "Wewe ulivyotuumba bila mikono na miguu ulitegemea nini ? tena huku tumebetua midomo.

..............Poor Tanzanians..........
 
Andaa Mashindano ya VISINGIZIO na MANENO BILA VITENDO hapo utaona Tanzania ikinyakua medali Kama mvua.

Kwa kweli inakatisha tamaa mno,sisi hatuna tunachoweza hata kimoja,haina hata ulazima wa kushiriki.
 
Kuna Mkimbiaji mmoja wa 1500 metres kaingia Final leo, ila kapita kwa kuunga unga

Sasa kuna mmoja anakimbia 10000 metres , alikuwa anaonekana mwanzoni ila sasa hata haonekani, labda keshajitoa maana alikuwa anakimbia kizembe sana
 
Kuna Mkimbiaji mmoja wa 1500 metres kaingia Final leo, ila kapita kwa kuunga unga

Sasa kuna mmoja anakimbia 10000 metres , alikuwa anaonekana mwanzoni ila sasa hata haonekani, labda keshajitoa maana alikuwa anakimbia kizembe sana
hehehe angalau umepata kuona BBC free view ungeishia kutizama Highlight youtube jirani asipozima Net connection Rubaman utampatia vipi news mpya tehtehteh.
 
Kama ilivyotarajiwa na wengi, "wanamichezo" wa bongo hawajatuangusha kabsaaa...GOLD 0, SILVER 0, BRONZE 0 medals
kwani tumepungukiwa na nini banaaaaa as long as nchi inapiga hatua kimaendeleo chini ya uongozi shupavu wa kizalendo tena unaochukia rushwa wa CCM tunahitajini nini tena
Mungu ibariki TZ, mungu mbariki Filbert bayi kwa kazi nzito ya kuongoza TOC
 
Hahaaa kwanza hayo ma gold sijui silver tunayo ya kumwaga! Twende buzwagi tujitwalie gold zetu wasitubabaishe hao jamaa
 
Iv kuna maana gani kila siku kushiriki mashindano bila kushindaa? ombi langu ni kwamba walioenda kushiriki michuano ya madola wapitie liberia na siera leone huenda wakashinda EBOLA kuliko kurudi mikono mitupu.
 
Kama ilivyotarajiwa na wengi, "wanamichezo" wa bongo hawajatuangusha kabsaaa...GOLD 0, SILVER 0, BRONZE 0 medals
kwani tumepungukiwa na nini banaaaaa as long as nchi inapiga hatua kimaendeleo chini ya uongozi shupavu wa kizalendo tena unaochukia rushwa wa CCM tunahitajini nini tena
Mungu ibariki TZ, mungu mbariki Filbert bayi kwa kazi nzito ya kuongoza TOC

maatopeeee!!!
km kawa....!!!
umeua bendiiiiii!!!!!
 
Kwanini hawa jamaa wa Olympic wasibadilishe viwango vya ushindaji kama walivyofanya kwenye Elimu hapa TZ! Kuwepo na medali hata za Aluminium!

Nadhani busara ni Tanzania ipewe ushindi wa upendeleo.
 
Kwanini hawa jamaa wa Olympic wasibadilishe viwango vya ushindaji kama walivyofanya kwenye Elimu hapa TZ! Kuwepo na medali hata za Aluminium!

...nini aluminium mkuu? za bati ndio bomba, I am sure TZ itakomba zoooote!
 
Waweke na medal za Plastic!!!

Wabongo wanaweza BIBI BOMBA tu na kufukuza kuku tena wenye ndui.Teh teh teh!!!
 
Kwanini hawa jamaa wa Olympic wasibadilishe viwango vya ushindaji kama walivyofanya kwenye Elimu hapa TZ! Kuwepo na medali hata za Aluminium!

Naunga mkono hoja, na za plastic ziwepo pia
 
ndiyo ni futuhi! tanzania ipewe ushindi Wa viti maalum banaa,ilimradi posho imeingia kinywani,hakuna tofauti na wabunge wao
 
Back
Top Bottom