Saudi Arabia bans 50 baby names

Saudi Arabia bans 50 baby names

developing countries like tz will have no way but to import everything, goods, services, names as well as language
 
Itakua kheri kubwa tukianza kutumia zaidi hayo, tumepoteza asili yetu kabisa tofauti na watu wa nchi nyingine nyingi ambao wanatumia zaidi majina yao

Sahizi Tz watu wanashindana kuwapa watoto wao majina wanayosikia kwenye tamthilia na kwenye mipira unakuta mtoto wa kiume anaitwa Angelo sijui Cristiano au Beyonce kana kwamba kuna mtu mweupe anatumia majina ya kiswahili

Kweli kabisa, kuna jirani yangu mmoja kamuita mtoto wake wa kiume " Giroud!". What is good about GIROUD that some one has to name his son after him. Nyambaff! Nikimuona mtanzania mwenye jina la kijinga jinga kama JOHN JAMES au sijui HAMISI RAJABU huwa namuona kama mtu asiye jitambua. Halafu wengi wao huwa wanakuwaga vilaza sana ukilinganisha na wenye majina ya asili.
 
ni kweli tunaweza kurudi kwenye asili zetu lakini utata unakuja je tupo tayari na kurudia mila na desturi zetu?
lakini hli inawea kuwa lisiwe tatizo ubwa sana kitakahotsumbua ni maana na tafsiri a jin ambalo motto amepewa mfano motto naitwa mkegani au mke jina unategemea nini mtoto huyu katika tu uzima wake anaweza kuwa anaolewa a kuachwa kumbe asili ya jina lilitokana na bibi wa bibi yake alidharauliwa na aatwa hivyo mjukuu naye akaridhi bil kujua a baada ya viazi vitatu unaona ni jina la kawaida hii sawa
 
Kweli kabisa, kuna jirani yangu mmoja kamuita mtoto wake wa kiume " Giroud!". What is good about GIROUD that some one has to name his son after him. Nyambaff! Nikimuona mtanzania mwenye jina la kijinga jinga kama JOHN JAMES au sijui HAMISI RAJABU huwa namuona kama mtu asiye jitambua. Halafu wengi wao huwa wanakuwaga vilaza sana ukilinganisha na wenye majina ya asili.

Ndio wenzawazimu wenyewe huo! Watu wanaangalia mipira na movies wanaiga kila kitu
 
mtu anatoa analopenda mzazi bwana,duniani ni kwa muda,nini kukomplicate mambo. mbingu ni moja hakuna ya mchaga wala mmakonde,tabu iko wapi,asili kitu gani,ili mradi utende mazuri kwa wanadamu wote
 
shout out to NDIMARA TEGAMBWAGE.,KINGUNGE NGOMBARE MWIRU,Dikembe Mutombo Mpolondo Mukamba Jean-Jacques Wamutombo,Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu wa Za Banga AND OTHERS

hahaha,mijina kama hiyo ukitaka uutangaze vizuri ukoo wenu,uwe mtu smart ktk mambo yako,mwenye mamlaka,au nyota ktk ulimwengu wa sanaa/michezo nk.sio unapewa mjina kama huo wa "mutombo" halafu unakuwa kibaka,bakaji,jizi au teja.i bet it wont make sanse and people will blame your entire community for a such weird name.
 
Wakati sisi tunachambua majina kati ya "LIKUD" na "Hamisi" jina gani lenye mvuto na lisilo la ukilaza, wenzetu wako maabara wanakaribia kupata kinga ya Ukimwi.
 
Majina ya wanangu yatakua haya wakiume{Mwamba,nguvu,nahodha,uhuru,} wakike(nyota,nyanza,zumari}
 
Mleta mada nakushukuru sana umeona jambo ambalo hata mimi lilikuwa linanitatiza. Nchukizwa sana sana jinsi tunavyotumia majina ya watu wengine. Ingefaa hili liwekewe sharia na vitambulisho vya taifa visitoke hadi sharia ya majina imetoka. Ili tuttumie majina yatu ya sili kama vile kalumanzila.
 
Mleta mada nakushukuru sana umeona jambo ambalo hata mimi lilikuwa linanitatiza. Nchukizwa sana sana jinsi tunavyotumia majina ya watu wengine. Ingefaa hili liwekewe sharia na vitambulisho vya taifa visitoke hadi sharia ya majina imetoka. Ili tuttumie majina yatu ya sili kama vile kalumanzila.

hii kitu haiwezekani kw jamii ya tanzania, acha kukurupuka
kwa wao saudia waliweza only kwa kutumia muamvuli wa dini na utamaduni wao ni mmoja kwamba hamna diversity kubwa, wote ni watu wa dini moja the same na culture
sasa utafanyeje hivi kwa nchi ya tanzania yenye diversity ya culture, mila, dini, na influence za kimaisha.
hem nipe majina ya kiasili ya watanzania?? yapoje, na kuna uhakika gani kua kweli ya tanzania na sio ya nchi jirani kama kenya na kongo???
 
Kweli kabisa, kuna jirani yangu mmoja kamuita mtoto wake wa kiume " Giroud!". What is good about GIROUD that some one has to name his son after him. Nyambaff! Nikimuona mtanzania mwenye jina la kijinga jinga kama JOHN JAMES au sijui HAMISI RAJABU huwa namuona kama mtu asiye jitambua. Halafu wengi wao huwa wanakuwaga vilaza sana ukilinganisha na wenye majina ya asili.
here you are.....:A S thumbs_up:
 
Saudi Arabia hakuna democracy kabisa. Watu wanaishi utadhani wapo mbugani.
 
nayapenda sana majina ya watu wa songea...
 
sipati picha ningeitwa kanyamalibwa....mkokoto....mapunda...
 
Back
Top Bottom