GIBA KB
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 367
- 111
Kituo cha televisheni cha ITV huwa kina mtindo wa kuuliza swali moja kila siku baada ya taarifa ya habari.Swali hilo linawataka watanzania kuchangia kwa jibu la NDIYO au HAPANA.Swali la jana lilihoji"Wajumbe wa bunge la katiba kususia vikao vya bunge hilo,Je,watanzania wategemee katiba mpya nzuri?"
Takwimu:70% wamesema NDIYO 28% wamesema HAPANA na 2% wamesema hawajui.
Hii inaonesha waTanzania wengi 70% wana imani na ukawa na wanaamini wanapigania maslahi yao
Takwimu:70% wamesema NDIYO 28% wamesema HAPANA na 2% wamesema hawajui.
Hii inaonesha waTanzania wengi 70% wana imani na ukawa na wanaamini wanapigania maslahi yao