Sasa wewe Magamba a.k.a Mbulula, ndo tuseme wewe ni mahakama kumhukumu yeye na chama. Najua una akaunti nyingi kwa majina tofauti hapa JF kwa lengo la kupotosha umma. Hicho ni choo cha kike. Hajiuzulu mtu na kesi itawaumbua. Mwambie shoga yako kuwa nafasi yake ya kazi pale BOT imeshajazwa. Sijui...
Sasa Mtela, wewe umetoka CHADEMA juzi. Wakati huohuo unataja yaliyojiri 2007 hususan mafunzo ya Libya na Urus na mengine mengi. Mbona hukutoka wakati ule. Mbona hutuambii wewe ulipelekwa mafunzo nchi gani. Mbona hutuambii uliyotenda kabla ya kuhama. Nenda kafundishe mwalimu. Ukibana matumizi...
Akili za watu wenye uwezo mdogo wa kufanya mijadala na kufikiri kwa mapana wanataka ujadili hoja kwa kutumia hoja ndogo kama wafanyavyo wasabato kuchukua mstari mmoja wa biblia. Endeleeni kutengeneza clips zinazoipa ushindi chadema
Wadau, mimi niko ughaibuni na nimeona Clip ya kijasusi ikimhusisha Rwakatare ambaye inasemekana ni Afisa usalama wa chama kimoja cha siasa, bila shaka kama ilivyosemwa ni CHADEMA. Nimefanya uchambuzi wangu kama ifuatavyo: Mazingira ya Tukio: Hivi kweli ikiwa Rwakatare alikusudia kupanga njama...
Wadau, mimi niko ughaibuni na nimeona Clip ya kijasusi ikimhusisha Rwakatare ambaye inasemekana ni Afisa usalama wa chama kimoja cha siasa, bila shaka kama ilivyosemwa ni CHADEMA.
Nimefanya uchambuzi wangu kama ifuatavyo:
Mazingira ya Tukio: Hivi kweli ikiwa Rwakatare alikusudia kupanga njama...
Wadau, mimi niko ughaibuni na nimeona Clip ya kijasusi ikimhusisha Rwakatare ambaye inasemekana ni Afisa usalama wa chama kimoja cha siasa, bila shaka kama ilivyosemwa ni CHADEMA. Nimefanya uchambuzi wangu kama ifuatavyo: Mazingira ya Tukio: Hivi kweli ikiwa Rwakatare alikusudia kupanga njama...
Mkuu Maggid umenena vyema. Lakini ebu angalia hii klipu alafu ujue kwanini tumefika hapahttp://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=BaJHhlIdXK8
- Padri hauawi, hata Sheikh pia...
Ndugu zangu,
Nimepokea kwa masikitiko makubwa habari za kuuawa kwa Padri Mushi wa Kanisa la Minara...
Labda utupe ushahidi kuwa wote waliwekwa kwa kuteuliwa na hawakuchaguliwa miongoni mwa wanachama wa chama hicho kwenye vyuo husika. Lakini mkuu, tukubaliane kwanza hapa:
1. Rais wa J/Muungano-JK-Muislamu
2. Makamu, Bilali- Muislamu
3. Rais wa Zanz, Shen-Muislam
4. Makamu wa 1 Zanz, Seif-Muislam...
Hivi UKWELI ni nini? Ukweli uko wapi? Ukweli unathibitishwa na nani? Anyway, nadhani nauliza maswali magumu kwa watu waliochoka kufikiri. Nyie endeleeni kujifariji kama mwaathirika aliyebakiza mifupa mitupu na hoi kitandani huku akifikiri kupigana masumbwi. Nawashauri muanze matumizi ya ARV feki.
Hivi UKWELI ni nini? Ukweli uko wapi? Ukweli unathibitishwa na nani? Anyway, nadhani nauliza maswali magumu kwa watu waliochoka kufikiri. Nyie endeleeni kujifariji kama mwaathirika aliyebakiza mifupa mitupu na hoi kitandani huku akifikiri kupigana masumbwi. Nawashauri muanze matumizi ya ARV feki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.