Recent content by genltesoul

  1. genltesoul

    Ushauri kwa wale waliojaaliwa flat screens

    Pole yao wenye flat screen mi nna bonge la kitambi.....
  2. genltesoul

    Wanaume amkeni acheni kulalama

    The end you r disgusting.......na inaelekea message Hi ilikuwa yako moja kwa moja mic chagga kakushtukia......you r a devil himself QUOTE=The End..;10707203]atakaye like huu uzi nitamshangaa sana!!! yaani huyu miss chagga haelewi kabisa: 1.papuchi siyo dili siku hizi zinapugua ladha siku hadi...
  3. genltesoul

    Usifikirie kuoa mrangi hata siku moja!

    yaani wee mwenye mzigua ndo umeliwa pooole saaana afadhali hata hao warangi
  4. genltesoul

    Usifikirie kuoa mrangi hata siku moja!

    pole kaka ......ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani.............:flypig::juggle::A S 465::A S 465:
  5. genltesoul

    Nimepatwa na majanga

    Usifikiri majini yana dunia yao peke yao.............she is devi herself .........................shtukaaaaa
  6. genltesoul

    Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri - Jan 19, 2014

    wote naona wana nafuu ila huyo mwigulu nchemba kajaje hapo jamani ........uwiiiiiiiii
  7. genltesoul

    AIDS DAY: umejifunza lipi? Langu ni hili

    Asante ndg kwa kukumbusha mambo na observations zenye akili nligundua ni complicated issue hadi nikaanza kusoma vijarida khs hii ishu ni juzi kati baada ya ndugu yangu WA damu kutest positive yaani since then.....nauogopa ukimwi jmn tubadilike ktk hili kwa kweli
  8. genltesoul

    NMB MOBILE mnatuboa watanzania

    Sorry nsomba niwaeleweshe kdg......watumisho WA serikali hawalaximishwi kuchukua mishahara nmb pili suala la nmb mobile co la nmb pekee wkt mwingine inasababishwa na mobile subscriber Wako km hayupo vzr cku iyo it means nmb mob itakuwa down na c nmb pekee wenye huduma hii benki zote zenye hii...
  9. genltesoul

    wale wa TANGA Kunani

    Usiache kabsaaa kwenda chumvini umewahi kupackia we
  10. genltesoul

    rangi nyeusi ktkt ya mapaja....nini tiba

    habari wana jf......mm ni kobonge kdg nina tatizo la kuwa na rangi nyeuc sana katikati ya mapaja nliwahi kuambiwa cream ya gentrison nimeitumia sana ila cjpata ufumbuzi tatizo hili lipo na mikononi yyani underarms....hv ni ugonjwaa au .......
  11. genltesoul

    Unataka kufaidi mapenzi na mwenza wako? iga kwa mtoto

    mmeasahau jmn uende ukamuogeshe kama mtt......na kisha umbebe pia km mtt.............
  12. genltesoul

    Leo Wifi atajibeba...

    sasa litakalojiri kakake akija itabd pia utujuze .............................
  13. genltesoul

    Umbea Wa Mujini C.P.A Yazua Mambo!!!! Fadhila Mfadhili Mbuzi Utamnywa Mchuziiiiiiiiiii!!

    MMHHHH jamani ukistaajabu ya mussa utaona cjui ya firauni au ya mchina.............ama kweli dunia tambara bovu
  14. genltesoul

    I'm obese....nisaidiwe tafadhali

    Hope hamujambo sana mimi wananiita bonge nina uzito wa kg 97 lakini my ideal wt kitaalamu ni kg 65 nilianza shida hizi baada ya uzazi miaka mitano nyuma nimeshindwa kabisa kurudi kwa uzito wangu wa mwanzo.....nimefanya mazoezi..nimechemsha sababu spidi ya njaa inakuwa kubwa nimejinyima sana...
  15. genltesoul

    Wanawake wa TANGA twapendwa na Wabara, ila wazazi wao wanatuharibia

    mimi ni wa bara wenyewe mwatuita wa nyika nimeolewa huku nawaona wifi zangu hamjui kupikaa,wachafu,hata mitoto yenu kuilea hamjui kuutwaa kwenye vijumba vya watu umbea sasaaaaa hata upite mahali usiku wa mamane ushaonwa......kupaka hina na kukaa vibarazani baaaaasi ndo mnaweza huku bara jamani...
Back
Top Bottom