wale wa TANGA Kunani

Tanga kalale SAHARE maeneo ya kwa BABA UBAYA, kwa msosi na drinks nenda Nyinda Bar & Restaurant, kwa night out nenda LA CASSA CHIKA club au kwa live band nenda NYUMBANI LOUNGE. w
 
Tanga kalale SAHARE maeneo ya kwa BABA UBAYA, kwa msosi na drinks nenda Nyinda Bar & Restaurant, kwa night out nenda LA CASSA CHIKA club au kwa live band nenda NYUMBANI LOUNGE. w

Enzi za limbachia ndio zilikuwa zenyewe.
 
Haha! mpenzi naona wewe, Arushaone na wengine mshataja sehemu zote nzuri kwa huyu Mnyakyusa kutembelea...

Ila kule Pangani mbali sana na barabara yake mbovu ya kufika huko...

Yan hiv ndo nataka nichomoke nianze ku explore mji wa Tanga. Huko pangani naweza fika next time.
 
Back
Top Bottom