Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,142
- 6,947
Kapuyanga Tanga ni mkoa wenye makabila ya bara na ya pwani,ndio mana kuna matamshi tofauti
We ni jinsia ME au KE?!! Maana lazima tujue ili tuangalie protocol,na pia una private transport au public? Me ni mwenyeji huku japo makazi Dar na nipo kwa wkend!!
Hivi bado ipo kama zamani kihuduma ?
Hahaha .me
sawa....Basi ntafika mkuu nipaone.
Tanga kalale SAHARE maeneo ya kwa BABA UBAYA, kwa msosi na drinks nenda Nyinda Bar & Restaurant, kwa night out nenda LA CASSA CHIKA club au kwa live band nenda NYUMBANI LOUNGE. w
Tanga kalale SAHARE maeneo ya kwa BABA UBAYA, kwa msosi na drinks nenda Nyinda Bar & Restaurant, kwa night out nenda LA CASSA CHIKA club au kwa live band nenda NYUMBANI LOUNGE. w
Umechelewa kujibu Mkuu,nimeshatoka viwanja naenda kulala,kesho maybe twaweza onana kama upo!!!
Umelala wapi ? umelala peke yako mijitoto yote hiyo Nyinda. usikose kupita nyama choma hotel barabara ya 11 kesho asbh
Nmekuita utoe mchango wako kuhusu sehemu nzuri za kutembelea tanga!Sema mpendwa...kunani hapa?
aasahhjh mee!!! tembelea mwamboni na makorola sokoni
Nmekuita utoe mchango wako kuhusu sehemu nzuri za kutembelea tanga!
Haha! mpenzi naona wewe, Arushaone na wengine mshataja sehemu zote nzuri kwa huyu Mnyakyusa kutembelea...
Ila kule Pangani mbali sana na barabara yake mbovu ya kufika huko...