mkuu badala ya kuwaza viwanda vya nguo vijengwe ili wakulima wetu wauze pamba humo bado unawaza kupeleka pamba njee tu... ??
ishu ya sukari ulikuwa mradi wa wafanyabiashara wachache. ngoja nikudokolee kidogo.
Sukari ikitoka kiwandani inapewa distributors na hawa ndo walikuwa wanasababisha bei...
TBA wanajenga mjengo yasiyo na mvuto, ya kizamani sana. kwa mfano jengo lao jipya opp. na TEMESA Arusha, pia kuna lingine karbu na office za migration Arusha.
Ramani mbovu, please CAG ayachunguze tujue ukwel.
ATCL ikileta ndege itahimili ushindani uliopo?? kumbuka safari za nje zmepunguzwa sana hadi Emirates wamepunguza ndege moja iliyokuwa inaserve Tanzania.
cha msingi tuangalie kwanza soko, kama demand ipo then ndo ATCL ifufuliwe. vinginevyo itakuwa "white elephant" tu.
Mkuu upo karne ya ngapi? Dar ex press na Kilimanjaro gari zao nyingi znazaid ya miaka nane njiani... kwa nini upande vtu chakavu wakati kuna magari mapya masafi na unasafir kwa luxury vizuri.
naonaga wanaopanda dar ex press kuwa ni washamba wa mabus, hawajui kuwa kuna mabus mazuri zaid.
ubaya wa dar express ana magari mengi ya zamani yanaanza namba C unakuta yamechoka sana.
panda Tahmeed au Modern au Happy Nation hizi mpya namba inayianza na DG...
ukikosa kabisa panda bus lolote jpya kuanzia namba DF.... ukioata DG ni bora zaid..
achana kabisa kupanda mabus yanayoanza na...
KUMTEUA DK MIGIRO BALOZI, MAGUFULI HUTUTANII KWELI?
NA LUQMAN MALOTO
NASUBIRI kauli kwamba uteuzi wa Dk. Asha-Rose Migiro kuwa balozi ilikuwa utani. Naingoja kwa hamu kubwa.
Dk. Migiro awe balozi? Huyuhuyu mama yetu? Ni taarifa za kweli hizi? Mama na wewe umekubali?
Dk. John Pombe Magufuli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.