incorruptible
Member
- Apr 19, 2014
- 62
- 46
Magufuli ni gumuzo Nigeria "Anzia dakika ya 12.44
Absolutely!"Hakuna kitu kizuri kama kuishi moyoni mwa watu kwa mazuri"
Tanzania created a real visionary and determined leader.
Ah dada utafikiri kameza redio bhana ........ila nimependa content
Yaani saaana, na pale alivosema magufuli anajenga barabara kutoka mwenge mpka moroco nilihisi kama anayajua vile maeneo haya uyu mwanadada