Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,639
Jana mida ya mchana baada ya kupata tarifa kuwa aliyekuwa mkurugenzi wa NSSF bw Ramadhani Dau kuwa ameondolewa NSSF na kuteuliwa kuwa balozi wa Tanzania katika kituo ambacho hakijapangwa nilijua wazi kuwa vyanzo vya pesa vya Zitto sasa vimeyumba kabisa.
Sote tunajua wazi kuwa wafadhiri wakubwa wa Zitto Kabwe na ACT yake kwanza alikuwa marehemu Deo Filikunjombe aliyekuwa mbunge wa Ludewa mkoani Njombe kabla Mungu hajamchukua.
Mfadhiri mwingine mkubwa wa Zitto ni Ramadhani Dau ambaye alikuwa ndiye mkurugenzi wa NSSF kabla hawajala kichwa,Dau alikuwa ni mtu wa msaada sana kwa Zitto pamoja na ustawi wa chama chake cha ACT alikuwa akimpatia pesa nyingi sana tena pesa zenyewe ni zile za watanzania wala siyo za dau mwenyewe.
Ushirika wa Zitto na Dau ulishamili zaidi Zitto alipokuwa mwenyekiti wa PAC ambayo yeye Zitto akiwa mwenyekiti wa kamati hiyo ambayo ilikuwa ikihusika na ukaguzi wa mashirika ya umma NSSF likiwemo,Zitto alikuwa akimlinda Dau kwa nguvu zote licha ya kuwa na ufujaji mkubwa wa pesa za umma.
Sasa baada ya marehemu Deo Mungu kumchukua Zitto aliyumba sana kifedha hata namna ya kuendesha chama chake,sasa mbaya zaidi kigogo wake bwana Dau naye wamekula kichwa baada ya haya yote tegemeeni kuona Zitto akipagawa pamoja ustawi na ACT ukipukutika kwa kasi kubwa ,mtaona ACT ikidumaa kwa kukosa pesa za kuendeshea kazi zake.
Sote tunajua wazi kuwa wafadhiri wakubwa wa Zitto Kabwe na ACT yake kwanza alikuwa marehemu Deo Filikunjombe aliyekuwa mbunge wa Ludewa mkoani Njombe kabla Mungu hajamchukua.
Mfadhiri mwingine mkubwa wa Zitto ni Ramadhani Dau ambaye alikuwa ndiye mkurugenzi wa NSSF kabla hawajala kichwa,Dau alikuwa ni mtu wa msaada sana kwa Zitto pamoja na ustawi wa chama chake cha ACT alikuwa akimpatia pesa nyingi sana tena pesa zenyewe ni zile za watanzania wala siyo za dau mwenyewe.
Ushirika wa Zitto na Dau ulishamili zaidi Zitto alipokuwa mwenyekiti wa PAC ambayo yeye Zitto akiwa mwenyekiti wa kamati hiyo ambayo ilikuwa ikihusika na ukaguzi wa mashirika ya umma NSSF likiwemo,Zitto alikuwa akimlinda Dau kwa nguvu zote licha ya kuwa na ufujaji mkubwa wa pesa za umma.
Sasa baada ya marehemu Deo Mungu kumchukua Zitto aliyumba sana kifedha hata namna ya kuendesha chama chake,sasa mbaya zaidi kigogo wake bwana Dau naye wamekula kichwa baada ya haya yote tegemeeni kuona Zitto akipagawa pamoja ustawi na ACT ukipukutika kwa kasi kubwa ,mtaona ACT ikidumaa kwa kukosa pesa za kuendeshea kazi zake.