Chuma hainasi kwenye mbao . maana anasema amemchukua akiwa darasa la tatu. Means yeye ndiye amemshape dogo hivyo alivyo.
Kuna namna akili hazifanani na tunatofautiana namna ya kuhandle possibly ukali wa muda wote umesababisha hofu na mpaka mtoto amepoteza confidence katika kufikiri na kutenda.
Ngorongoro kuna bati,Solar, mbwa wa kufukuza wanyama wakali.ghorofa mimi nimetembea hifadhi za ndani nyingi hakuna hii kitu. Ilikuwa ndoto yangu kufika Ngorongoro niliumia kiukweli.Serikali ndio muamuzi wa mwisho. Watu ni muhimu na hifadhi ni muhimu pia
Nimefanikiwa kutembelea hii hifadhi kiuhalisia inaumiza sana. Unaenda umbali mrefu mno lkn huoni wanna wanyama pori zaidi ya zebra na nyumbu.
Ni kweli wanaishi kihalali lkn serikali ilifail kufanya forecasting hakuna jamii isiyokua.otherwise wamehasiwa.
Kanuni zitengenezwe
Kusupport hali...
Maisha yanaenda kasi sana vijana ambao wanatakiwa kuwa na fikra yakinifu za kimapinduzi ukikaa nao kuongea nao hata kujaribu kuona wana mawazo gani they don't care ni hatari sana kwani generation iliyopo sasa ndiyo ya kufanya mabadiliko vijana hamna kitu jamani Mungu aokoe vizazi vyetu wanasema...
Pole mkuu kwa msiba lakini ni mapema sana kuanza kufikiria kuoa.Weka akili kwa wtoto hasa huyo mdogo umri wake hawezi hata kujidefend incase umeoa mwanamke ambaye ni nyoka .
Mungu akuongoze!@fisi 2
Umeongea Vizuri mkuu pia kuna sababu zinawapelekea wanawake kuopt CS sio wote wanapenda kwa mfano mwanamke anacase ya big baby huyu lazima atafanyiwa upasuaji kwa ajili ya kumwokoa mtoto .naongelea kilo kuanzia 4.6...nakuendelea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.