Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 424
- 1,044
Wakati watu wanashinikiza wanangorongoro waondolewa nawakumbusha kuna amri ya mahakama ya Afrika Mashariki EACJ inaikataza Serikali kuwaondoa, na serikali imekuwa ikiheshimu amri hiyo toka Sept 2018, tunataka Serikali isiyo heshimu utawala wa sheria? #Ngorongoro
View attachment 2109658View attachment 2109660View attachment 2109661View attachment 2109662
Eneo la Ngorongoro asili, lilikuwa sehemu ya Serengeti National Park wakati linaundwa na waingereza 1951. Maasai waliendelea kuishi eneo hifadhi mpya hadi 1959, wakati mgogoro na mamlaka za hifadhi kuhusu matumizi ya ardhi, waingereza wakawahamishia Ngorongoro Conservation Area.
59% ya ardhi ya wilaya Ngorongoro ipo Ngorongoro Conservation Area, ambayo ilirasimishwa 1959 kuhusika na masuala ya conservation za rasilimali za wanyama pori, kukuza utalii na maendeleo ya wakazi ndani ya hifadhi, Maasai ambayo ni jamii ya wafugaji wenye kuhama kutafuta malisho.
NCA ni eneo la 8,292 km2 ndani ya wilaya ya Ngorongoro, mkoa wa Arusha. Kuna vijiji 14 ndani ya Ngorongoro Conservation Area (NCA), kata 6 za Kakesio, Orbalbal, Endulen, Nainokanoka, Ngorongoro na Naiyobi na kata hizo zina wakazi zaidi ya 50,000 kwa sensa ya 2002.
Loliondo, ambayo pia imegawanyika katika kata na vijiji kadhaa, ni asili ya Maasai ambao kwa asili ni wafugaji na sasa kwa mahitaji ya binadamu wanalima mazao. Pia kuna jamii ya Batemi (Sonjo) na jamii nyingine ambazo pia zinaishi Loliondo, ni wakulima na pia wafugaji.
Mgawanyo huo unatengeneza vijiji vya Loliondo, Sakala, Ngwarrwa/Enguserosambu, Ololosokwan, Oloipir, Arash na Maloni. Tinaga, Mgongo, Kisangiro, Samunge, Yasimdito, Digodigo, Malambo, Piyaya, Pinyinui na Engaresero. Wakazi wengi ni wafugaji na wakulima.
Mgawanyo wa makaazi unatofautishwa na tofauti yao ubora wa rasilimali, nyanja za uzalishaji mali, historia na mila za wakaazi. Kuna upinzani wa asili wa kiuchumi kati ya jamii za Maasai na Batemi (Sonjo) na Loliondo.
Pia soma > Nakuonya Maulid Kitenge , propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana- Ngorongoro dhidi yao hazitakuacha salama.
View attachment 2109658View attachment 2109660View attachment 2109661View attachment 2109662
Eneo la Ngorongoro asili, lilikuwa sehemu ya Serengeti National Park wakati linaundwa na waingereza 1951. Maasai waliendelea kuishi eneo hifadhi mpya hadi 1959, wakati mgogoro na mamlaka za hifadhi kuhusu matumizi ya ardhi, waingereza wakawahamishia Ngorongoro Conservation Area.
59% ya ardhi ya wilaya Ngorongoro ipo Ngorongoro Conservation Area, ambayo ilirasimishwa 1959 kuhusika na masuala ya conservation za rasilimali za wanyama pori, kukuza utalii na maendeleo ya wakazi ndani ya hifadhi, Maasai ambayo ni jamii ya wafugaji wenye kuhama kutafuta malisho.
NCA ni eneo la 8,292 km2 ndani ya wilaya ya Ngorongoro, mkoa wa Arusha. Kuna vijiji 14 ndani ya Ngorongoro Conservation Area (NCA), kata 6 za Kakesio, Orbalbal, Endulen, Nainokanoka, Ngorongoro na Naiyobi na kata hizo zina wakazi zaidi ya 50,000 kwa sensa ya 2002.
Loliondo, ambayo pia imegawanyika katika kata na vijiji kadhaa, ni asili ya Maasai ambao kwa asili ni wafugaji na sasa kwa mahitaji ya binadamu wanalima mazao. Pia kuna jamii ya Batemi (Sonjo) na jamii nyingine ambazo pia zinaishi Loliondo, ni wakulima na pia wafugaji.
Mgawanyo huo unatengeneza vijiji vya Loliondo, Sakala, Ngwarrwa/Enguserosambu, Ololosokwan, Oloipir, Arash na Maloni. Tinaga, Mgongo, Kisangiro, Samunge, Yasimdito, Digodigo, Malambo, Piyaya, Pinyinui na Engaresero. Wakazi wengi ni wafugaji na wakulima.
Mgawanyo wa makaazi unatofautishwa na tofauti yao ubora wa rasilimali, nyanja za uzalishaji mali, historia na mila za wakaazi. Kuna upinzani wa asili wa kiuchumi kati ya jamii za Maasai na Batemi (Sonjo) na Loliondo.
Pia soma > Nakuonya Maulid Kitenge , propaganda ulizotumwa kuzifanya kwa wana- Ngorongoro dhidi yao hazitakuacha salama.