Nilirudi CCM kisa Hayati Magufuli

Nilirudi CCM kisa Hayati Magufuli

Habari ya jpili jamani ni hivi mnamo 2015 nilikua kijana wa miaka18 nilipinga huu utawala huu wa kijani. Lakini mwendazake akasaidia kidogo kunishawishi kuona kwamba kunaweza kuwa na tija.

Lakini Sasa naomba tufanye hima jamani 2025 tutafute hata chama Cha kuokoteza tukiweke sio chama hichi cha majizi, maongo, mijityamadili yaani Hawa jamaa imekua sio uchawi tu Ila ni laana. Walimesema warudisha democracy, democracy nikudanganyana
Wewe ni Maghumashi tu kama penalty ya Yanga dhidi ya Namungo
 
Maisha yanaenda kasi sana vijana ambao wanatakiwa kuwa na fikra yakinifu za kimapinduzi ukikaa nao kuongea nao hata kujaribu kuona wana mawazo gani they don't care ni hatari sana kwani generation iliyopo sasa ndiyo ya kufanya mabadiliko vijana hamna kitu jamani Mungu aokoe vizazi vyetu wanasema ilimradi maisha yangu yanaenda ukiwaza vya serikali ni kujitia stress sasa kwa akili hizi nani atakuwa na uchungu na hili taifa.
Wapigaji ndio wanapata mwanya wa kupiga zaidi walioko kwenye system wanamirija yao tayari hata akiona mambo yanaenda ndivyo sivyo hawezi sema wala act kwa kuwa kuna namna wanafaidika.
Uongozi uliopo umeingia kwa coincidence hauna priorities,hamna stratergies anapelekwa pelekwa tuu.
Very sad kwakweli
 
Wewe tangu lini umekuwa sehemu ya hizo nguvu au uwezo kukipa chama chochote dhamana ya kuongoza nchi?
Unafikiria kama teja.
Bwashee yani tuokoteze tu chama kama chadema tukipe dhamana ya kuongoza nchi?
Hatuwezi kujichimbia kaburi wenyewe kwa kuifanya nchi kuwa kichwa cha mwendawazimu!
Anayetaka tumpe hiyo dhamana lazima atupruvie kuwa anastahili. Hatuwezi kumkabidhi kichaa rungu la kuongoza nchi, atatumaliza.
 
Wewe tangu lini umekuwa sehemu ya hizo nguvu au uwezo kukipa chama chochote dhamana ya kuongoza nchi?
Unafikiria kama teja.
Sawa, ngoja mimi nifikirie kama teja, wewe ufikirie kama jiniasi; ukweli utabaki ule ule, hakuna alternative linapokuja suala la vyama.
Mimi kama mpiga kura kama sina hizo nguvu, basi hata hao walio na hizo nguvu wanajua kwamba hatuna chama mbadala.
 
Habari ya jpili jamani ni hivi mnamo 2015 nilikua kijana wa miaka18 nilipinga huu utawala huu wa kijani. Lakini mwendazake akasaidia kidogo kunishawishi kuona kwamba kunaweza kuwa na tija.

Lakini Sasa naomba tufanye hima jamani 2025 tutafute hata chama Cha kuokoteza tukiweke sio chama hichi cha majizi, maongo, mijityamadili yaani Hawa jamaa imekua sio uchawi tu Ila ni laana. Walimesema warudisha democracy, democracy nikudanganyana
Mkuu CCM siyo ya Magufuli,CCM ni mfumo thabiti wa kuwatawala wenzao miaka mingi,wao wanadai miaka elfu mmoja.
Hata ukimbilie kwa mzee ubwabwa au mzee mapesa watakutawala tu,kwa kuwa wenye funguo za kuingia Ikulu wanazidhibiti wao tu.

Kabla ya hata kuwaza kuingia Ikulu anzia kwa wenyekiti wa serikali za mitaa karibu wote nchi nzima (Tanzania Bara) ni CCM,Madiwani karibu wote ni CCM,Wabunge nao hivyo hivyo ni CCM.
Hata tukijifanya kubadirisha katiba,na hata maoni yaongozwe na akina Jaji Warioba mia LAKINI as log as msimamizi ni CCM wataendelea kututawala tu.

Labda kabla ya mchakato wa katiba,iundwe serikali ya mpito isiofungamana na vyama vya kisiasa chini ya uangalizi wa serikali ya Uingereza kitu ambacho hakikubariki kwa walio wengi.
 
Huna hizo nguvu bwana, wala wewe sio msemaji wa hao wenye hizo nguvu na hujui wanajua nini, soka hapa. Usijepe umuhimu ambao huna, You are just a pawn.
Sawa, ngoja mimi nifikirie kama teja, wewe ufikirie kama jiniasi; ukweli utabaki ule ule, hakuna alternative linapokuja suala la vyama.
Mimi kama mpiga kura kama sina hizo nguvu, basi hata hao walio na hizo nguvu wanajua kwamba hatuna chama mbadala.
 
Mimi mwenyewe kwa mwendo wa huyu mama na watu wake wa upigaji nimeshajitoa CCM.
Haiwezekani mpumbavu mmoja aje atuambie kuwa umeme unakatika sababu ya mitambo haikufanyiwa matengenezo for 5yrs,
kisha ana kuja waziri mkuu anatuambia umeme ni wa uhakikawawekezaji njooni.

then anakuja rais anasema binadamu viburi ng'ombe anakunywa 40 ltrs za maji na tumekata miti ovyo yote ni kuonesha kuwa umeme wa maji haufai ndo maana tuna mgao, huu ukame kweli ndo umekuja kama chafya. Mimi na watu wangu tutakuwa mstari wa mbele kuhakikisha mama hatoboi 2025.
Sana tutaizika ccm pamoja
 
Habari ya jpili jamani ni hivi mnamo 2015 nilikua kijana wa miaka18 nilipinga huu utawala huu wa kijani. Lakini mwendazake akasaidia kidogo kunishawishi kuona kwamba kunaweza kuwa na tija.

Lakini Sasa naomba tufanye hima jamani 2025 tutafute hata chama Cha kuokoteza tukiweke sio chama hichi cha majizi, maongo, mijityamadili yaani Hawa jamaa imekua sio uchawi tu Ila ni laana. Walimesema warudisha democracy, democracy nikudanganyana
Nyie ndio mlimtia ujinga akataka abaki milele, unateseka kutoka pande gani aisee?
 
Back
Top Bottom