Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,533
- 45,769
Kariakoo me mwenyewe nimenunuakwa dar zinapatikana wapi hizo mbegu.
Kariakoo me mwenyewe nimenunuakwa dar zinapatikana wapi hizo mbegu.
Upo wapi nikuleteehio dawa ni kiboko na mimi niitafute maana naona kama nyie mlifaidi kinoma
Hahaaa nipo moro.. lakini ntanunua mwenyewe nikiwa nimejipanga vizuri chumbaniUpo wapi nikuletee
hio dawa ni kiboko na mimi niitafute maana naona kama nyie mlifaidi kinoma
Yupo vizuri how are you?Baby anaendeleaje?
Am not okay mfuko umetoboka ile mbayaYupo vizuri how are you?
mrejesho plzNimemeza hyo mbegu muda huu nitawapa mrejesho asubuhi
nilimeza usiku nimeharisha tu kidogo asubuhi kama mara tatu hivi.mrejesho plz
Inaitwa Habbat Mulk,nilishawahi kuitumia miaka5 iliyopita,niliharisha vitu vya ajabu ajabu Sana,yani nililuwa natoa kama ukoko mweusi hivi wakati Ata "fegi" sijawahi piga!!na kumbuka kwamba dawa hii ni ya ajabu ukisema upige usingizi haisumbui,but ukifanya movument yoyote ndio utasikia habari yake,make sure hutoki home siku hiyo na uandae maji mengi ya kunywa na ugali dona wa kutosha sana!
***** utaharisha mpk mkund. utoke kwa nje.