Recent content by Gemini Are Forever

  1. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuuza maziwa fresh na mgando kwa Dar es Salaam

    Maziwa Yanapatikana wakuu! Natafuta mteja wa jumla ambaye anahitaji maziwa kwa matumizi ya biashara au matumizi mengine. Aliye interested naomba ani-PM au awasiliane nami kwa maelezo zaidi kuhusu kiasi, bei na eneo la upatikanaji. Asanteni.
  2. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Tunatangaza tarehe 8/8 kutakuwa na maandamano makubwa sana ambayo hayajapata kutokea

    Vituo vya mwendokasi vimekufanya nini? Andamana mkuu ila kwa hili naunga mkono uliwe kichwa.
  3. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Chimbo la vifaa vya umeme Kariakoo

    Huenda huu uzi ukaja kunisaidia siku moja, ngoja ni subscribe.
  4. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Tuambie kipi Kinakuvutia mpaka unachanganyikiwa! kati ya hivi vitu sita+?

    Wenzangu sapiosexual naomba kuwafahamu.
  5. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Kati ya Senior Member, JF-Expert Member na Platinum Member, nani ana cheo kikubwa zaidi?

    Kuna kipindi naanza kujiunga JF nilikuwa nawaona Gold Member. Siku hizi wako wapi? Sioni hata mmoja.
  6. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Tabia nyingine ya kikuda ni Kumkumbusha mwenzako Mambo ya Jana Kwenye Pombe

    Kama ulikuwa unafanya mambo ya ajabu either ya kujidhalilisha kwa nini tusikukumbushe? Lazima uambiwe maana walevi huwa mnajizima data. Kuna jamaa yangu huwa akifanya vitu vya hovyo akiwa amelewa kesho yake hujifanya hakumbuki chochote ila akifanyiwa yeye mbaya anakumbuka vizuri tu. Acheni...
  7. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Hebu Tuseme Ukweli, Ni Members Gani wapo Kwenye Ignore List Yako?

    Muweke Lucas Mwashambwa namba 1
  8. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Unga: Utajiri wa Haraka, Kifo cha Hakika

    Oya mzee ulitoka Kigoma kijilipua kweli. Duh!
  9. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Media zimeendelea kutumika kama toilet paper suala la mahusiano kati ya Marekani na Tanzania!

    Inamwagia mafuta kwenye Petroli = Inamwagia Petroli kwenye moto. Habari ni ya moto ndugu mwandishi ila punguza haraka kidogo.
  10. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania HOJA Wanafunzi wa Udaktari St. Francis Referral Hospital kuzuiwa kuwa na simu kwa Saa 10 hadi 11 si jambo zuri

    Karibu mkuu, nafurahi kwa compliments! Nakuona tangu nianze kuijua JF.
  11. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Tukio gani ulishawahi kufanya ukahakikisha umemfundisha mtu adabu?

    Kuna uzi unasomeka "Revenge: Jinsi nilivyopeleka kilio kwa binti....." Hakika yule jamaa alimshikisha yule binti adabu.
  12. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Majina ya kibantu yanayofurahisha

    Mwandambo
Back
Top Bottom