Nilikuwa siijui nyeto na mara ya kwanza kuijui ilikuwa nina miaka 14.
Alaaniwe yule jamaa aliyepiga nyeto mbele yangu nikaijua.
Toka hapo nikawa mdau hadi mwaka jana nilipoingia kwenye mahusiano serious, nina mwaka sasa sijapiga nyeto!
Nazisoma sana mada zako.
Kuna namna unawasilisha jambo unaeleweka kabisa mkuu.
Nimejaribu kuiga style yako ya uwasilishaji, nikaona nimekuwa bora sana kwa wanaonizunguka.
Kuna mtu aliniambia leo napangilia maneno kama ChatGPT.
Asante sana kaka Mshana.
JF ya siku hizi miyeyusho sana.
Comment za masihara ni nyingi kuliko za kutoa msaada!
Coconut empty heads.
Mkuu, nenda ChatGPT kisha nenda hospital iliyo karibu nawe zungumza na madaktari watakupa majibu na miongozo kuhusu tatizo lako.
Kuna jamaa niliwahi kuambiwa kuwa kila akiniona tu ananisema kuwa "huyu jamaa (Mimi) simpendi namchukia"
Mbaya zaidi simjui na yeye hanijui. Yaan ndan ya wiki tu tangu afike akawa ananichukia.
Akaulizwa kwa nini anasema anajiona, ana kiburi na dharau!
yaani vile upo kimya, sio muongeaji, hukai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.