Recent content by Gemini Are Forever

  1. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Ujasiriamali: Usindikaji wa Yoghurt na Mtindi

    Kuna sehemu nimeona fursa.
  2. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kuuza maziwa fresh na mgando kwa Dar es Salaam

    Nimepata wazo. Shukurani kwako mfukua uzi!
  3. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Hapa tuseme :" KIMEUMANA"

  4. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aongoza Mapinduzi ya Sekta ya Mifugo, zaidi ya Mifugo Milioni 50 yachanjwa Kitaifa

    Mkoani Simiyu Region inafanana na ile ya kusema 'My wangu' Pongezi ziende kwa Samuya Silaha Hassan.
  5. Gemini Are Forever

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume nipe ushuhuda ulivyoweza kuacha kujichua

    Nilikuwa siijui nyeto na mara ya kwanza kuijui ilikuwa nina miaka 14. Alaaniwe yule jamaa aliyepiga nyeto mbele yangu nikaijua. Toka hapo nikawa mdau hadi mwaka jana nilipoingia kwenye mahusiano serious, nina mwaka sasa sijapiga nyeto!
  6. Gemini Are Forever

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wale walinda BRAND mnakaza sio?🔥

    Ilishawahi kunitokea.
  7. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Maisha yako ni kama Fremu… Finishing unafanya mwenyewe

    Nazisoma sana mada zako. Kuna namna unawasilisha jambo unaeleweka kabisa mkuu. Nimejaribu kuiga style yako ya uwasilishaji, nikaona nimekuwa bora sana kwa wanaonizunguka. Kuna mtu aliniambia leo napangilia maneno kama ChatGPT. Asante sana kaka Mshana.
  8. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kilikufanya ujitafakari

    Hadi sasa nipo 3rd floor mwanzoni kabisa lakini sina asset yoyote. hii kitu inanifanya nijitafakari sana!
  9. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Kwanini kitimoto haichunwi ngozi?

    Ndio leo najua apple halimenywi. Sijawahi kula msukuma mimi.
  10. Gemini Are Forever

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina hamu ya kufanya mapenzi, ila sina ramani ya mwanamke nifanyeje?

    Wewe si Baba Kijacho? Kamlombe Mama Kijacho.
  11. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Aliemuingizia mtoto uume wake mdomoni kizimbani Tabora

    Mbona akina Mbaga Jr na secretarybird hawana mambo mengi. ni mwendo wa kupiga free kick tu na magoli yanapatikana.
  12. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Hivi hii Hali ni kwangu tu? Maana kuna muda kichwa kinapata moto

    Afadhali wewe umeanza kujishtukia mapema. Wengine tumekaa kwa Baba tumekuja kushtuka tukiwa 3rd floor. toka magetoni dogo!
  13. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kufanya check up ya mwili mzima nijue magonjwa niliyonayo

    JF ya siku hizi miyeyusho sana. Comment za masihara ni nyingi kuliko za kutoa msaada! Coconut empty heads. Mkuu, nenda ChatGPT kisha nenda hospital iliyo karibu nawe zungumza na madaktari watakupa majibu na miongozo kuhusu tatizo lako.
  14. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Chuki ni nini hasa

    Kuna jamaa niliwahi kuambiwa kuwa kila akiniona tu ananisema kuwa "huyu jamaa (Mimi) simpendi namchukia" Mbaya zaidi simjui na yeye hanijui. Yaan ndan ya wiki tu tangu afike akawa ananichukia. Akaulizwa kwa nini anasema anajiona, ana kiburi na dharau! yaani vile upo kimya, sio muongeaji, hukai...
Back
Top Bottom