Recent content by Gemini Are Forever

  1. Gemini Are Forever

    Hivi kuandika hivi Kwa kizazi hiki ndio swaga ama Nini?

    Nimeona watoto ndio wana matumizi ya uandishi huo. Kama sio watoto basi ni wale watu wenye Elimu ndogo ambao ndio wanajifunza au kuanza matumizi text messages! e.g, Elimu ya form 4 na kushuka chini.
  2. Gemini Are Forever

    Bangi na pombe Kali ni hatari nimerudi mtaani naona vijana wamezeeka ghafla

    45 ndio kitu gani kwanza mkuu? Nilisikia sana wahuni wanaitana!
  3. Gemini Are Forever

    Kesho ni sikukuu ya wajinga, je umewahi kudanganywa au kudanganya nini kwenye sikukuu ya wajinga ?

    Wafanyakazi wenzangu walinipigia simu kwa nyakati tofauti tofauti wakiniuliza kuwa wamesikia kuwa nimepata ajali. Niliumia sana na nilipandwa na hasira kuhusu mtu aliyesambaza hizo habari.
  4. Gemini Are Forever

    Nimeambiwa mahari Millioni 18. Sina Pesa hiyo na nataka kuoa, nifanyeje?

    Mkuu, huyu binti nilikuwa na mahusiano naye ya siri hatujawahi kwwnda kwao wanitambue rasmi na baada ya kupata ujauzito tena sikwenda na ndipo baada ya ujauzito kuonekana wazazi wake ndio wakanitafuta na siku tuliyoenda kukutana wao walikuja moja kwa moja na karatasi yenye vitu vinavyoorodhesha...
  5. Gemini Are Forever

    Je, ni lazima msichana kutolewa mahari?

    Nishatia mimba mkuu, ana mtoto now ana miezi minne
  6. Gemini Are Forever

    Nimeambiwa mahari Millioni 18. Sina Pesa hiyo na nataka kuoa, nifanyeje?

    ‎Ndoa ni utapeli, ndoa ni biashara! Nimekuwa nikikutana na hizi kampeni za kataa ndoa humu jukwaani nikawa nazichukulia kama ni porojo tu, sikuwa nazichukulia kwa uzito hadi leo yamenikuta. Back to the topic, Wakuu, naomba nishirikishe hali yangu na kupata ushauri wenu. Nina binti niliingia...
  7. Gemini Are Forever

    Je, ni lazima msichana kutolewa mahari?

    Nimeona huu uzi nazidi kupatwa na hasira. nimeambiwa mahari million 18, binti ni Mchaga graduate! eti kisa ni graduate ndo maana mahari ni pesa hiyo. Kila nikikaa natamani hata kumpigia huyo mzee simu nimwambie atafute mtu mwingine amuozeshe binti yake kwa pesa hiyo. nitakileta kisa changu...
  8. Gemini Are Forever

    Mvua kubwa Pwani na Dar; Tujuzane hali ilivyo maeneo yetu ili tuwe na taarifa za TAHADHARI

    Nina mwaka wa 4 nipo Mpwapwa, Dodoma. Sijawahi kuona mvua kama hizi! Mvua hizi ndizo zimefanya ibaki kidogo tuta la reli ya SGR kwenda na maji na kufanya treni kusimama siku tatu. Mwaka huu mazao yamekubali. Mwaka huu kulikuwa hakuna lile Jua la mwezi wa pili. Miaka yote mvua hunyesha mwezi...
  9. Gemini Are Forever

    Kufanikiwa si akili bali ni ujanja ujanja tu

    Sasa mkuu hiyo janja janja yenyewe si ndo akili? Yaani ni lazima utumie akili kufanya ujanja.
  10. Gemini Are Forever

    Unalipwa 500,000 TZS? Jaribu kuishi hivi!

    Ndo mnanichanganya kabisa. tukijibana mnasema kula vizuri, vaa vizuri pendeza, jipende maisha yenyewe ni haya haya, epuka vidonda vya tumbo! tukianza kuzitumbua mnaleta tena mambo kama haya.
  11. Gemini Are Forever

    Ni ushawahi kushuhudia jeuri ya pesa

    Ngoja nisubscribe huu uzi. Siku nikijisikia kunywa chai naingia najichotea.
  12. Gemini Are Forever

    Bongo tuna matapeli wengi kwenye issue za technology; hii inatufanya kuja na solution chache mno

    Kwani hizo AI zenyewe si kuna devs wamezitengeneza? Siku hiyo AI ikwambie "samahani siwezi kutengeneza code hiyo kwa sasa, tafadhali jaribu tena baadae" wakati huo hujui 1 wala 2 kwenye coding, unafikiri utafanya nini? binadamu atabaki kuwa binadamu.
Back
Top Bottom