Nimeona watoto ndio wana matumizi ya uandishi huo.
Kama sio watoto basi ni wale watu wenye Elimu ndogo ambao ndio wanajifunza au kuanza matumizi text messages!
e.g, Elimu ya form 4 na kushuka chini.
Wafanyakazi wenzangu walinipigia simu kwa nyakati tofauti tofauti wakiniuliza kuwa wamesikia kuwa nimepata ajali.
Niliumia sana na nilipandwa na hasira kuhusu mtu aliyesambaza hizo habari.
Mkuu, huyu binti nilikuwa na mahusiano naye ya siri hatujawahi kwwnda kwao wanitambue rasmi na baada ya kupata ujauzito tena sikwenda na ndipo baada ya ujauzito kuonekana wazazi wake ndio wakanitafuta na siku tuliyoenda kukutana wao walikuja moja kwa moja na karatasi yenye vitu vinavyoorodhesha...
Ndoa ni utapeli, ndoa ni biashara! Nimekuwa nikikutana na hizi kampeni za kataa ndoa humu jukwaani nikawa nazichukulia kama ni porojo tu, sikuwa nazichukulia kwa uzito hadi leo yamenikuta.
Back to the topic,
Wakuu, naomba nishirikishe hali yangu na kupata ushauri wenu.
Nina binti niliingia...
Nimeona huu uzi nazidi kupatwa na hasira.
nimeambiwa mahari million 18, binti ni Mchaga graduate! eti kisa ni graduate ndo maana mahari ni pesa hiyo.
Kila nikikaa natamani hata kumpigia huyo mzee simu nimwambie atafute mtu mwingine amuozeshe binti yake kwa pesa hiyo.
nitakileta kisa changu...
Nina mwaka wa 4 nipo Mpwapwa, Dodoma.
Sijawahi kuona mvua kama hizi!
Mvua hizi ndizo zimefanya ibaki kidogo tuta la reli ya SGR kwenda na maji na kufanya treni kusimama siku tatu.
Mwaka huu mazao yamekubali.
Mwaka huu kulikuwa hakuna lile Jua la mwezi wa pili.
Miaka yote mvua hunyesha mwezi...
Ndo mnanichanganya kabisa.
tukijibana mnasema kula vizuri, vaa vizuri pendeza, jipende maisha yenyewe ni haya haya, epuka vidonda vya tumbo!
tukianza kuzitumbua mnaleta tena mambo kama haya.
Kwani hizo AI zenyewe si kuna devs wamezitengeneza? Siku hiyo AI ikwambie "samahani siwezi kutengeneza code hiyo kwa sasa, tafadhali jaribu tena baadae" wakati huo hujui 1 wala 2 kwenye coding, unafikiri utafanya nini?
binadamu atabaki kuwa binadamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.