Recent content by gbrother

  1. gbrother

    Series (Special thread)

    Hivi bado haijarudi, into the badland?
  2. gbrother

    Series (Special thread)

    Into the badland ni balaaa sana aisee
  3. gbrother

    Kwa wapenzi wa documentaries

    Is it a documentary or series?
  4. gbrother

    Tamthilia ya Days of our life

    Aise hakuna mwenye nayo hii,
  5. gbrother

    Series (Special thread)

    Wakuu nadhani sasa inabidi twende vizuri na latest series at least kuanzia mwaka 2014 to date, mfano tu mwaka 2015 kuna vitu vya moto hatari sana ambavyo nimeshavicheki, 1. Narcos 2. Blind spot 3. The player ni noma sana hozo, zote ni za 2015
  6. gbrother

    ushauri wa masters

    wadau wa j.e naomba mnisaidie kwa experience yenu, kati ya masters ya environmental health na masters ya monitoring and evaluation ipi nzuri zaidi kwa maisha ya mbele kwa mtu aliyesomea bsc ya ualimu
  7. gbrother

    Wapi kumbi za Night Club, Jiji la Tanga

    la casa chica ndio club yenye akili,
  8. gbrother

    Why Christian Bella? Why? Why?

    aka kaneno mapenzi, kaneno kafupiiiiiiii, uliniachaaa nikazamaaaaaa, kutoka sasaaa nashindwaaaaaa, nashindwaaaaaaa. bella ni shidaaaa tena aswaaaaaa
  9. gbrother

    hot movies and series..wadau tuhabarishane

    24 mwaka jana wametoa series mpya mchezo unapigwa uk kaka, president ni heller (yule alikuwa waziri wa ulinzi ambaye bauer alikuwa anamtungua binti yake)
  10. gbrother

    Video gani Kali ya Msanii wa Bongo kuliko zote kwa sasa?

    Ingawa nyimbo yake mbovu kimtazamo wangu ila video yake naipa kura ya kwanza, maana iko tofauti na video nyingi za bongo kuanzia idea na muonekano (ommy dimpoz- wanjera), pili kwa king of the best mellody christian bella- nashindwa tatu makomando- sherikoo
  11. gbrother

    Video gani Kali ya Msanii wa Bongo kuliko zote kwa sasa?

    hapo sidhani kama ni sahihi, maana kuna tofauti kati ya kuangalia video (ambapo youtube ukifungua video tu unahesabu umeview) na kujua video ipi ni bora (maana ili ujue ubora wa video au la lazima ufungue video), kwa hiyo unaweza fungua nyimbo ukakuta video ----- bt view yako ikasoma.
  12. gbrother

    Aibu hii TFF hamuwezi kuikwepa

    asante sana mwenyekiti kwa kutupa maelezo haya juu hapo, lakini bado nashindwa kuyaafiki hayo usemayo hapo juu, maana kwenye habari ya star tv kuna kiongozi (kama sio wewe) alisema mlikosa ndege ya kusafirisha mwili, na ukiangalia kwenye post yangu hapo juu nimeliongelea ili, sasa hii dhamila ya...
  13. gbrother

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Yaani spurs leo utafikili walilazimishwa kucheza, hawana ushindani, wapo wapo tu wapuuzi hawa, yaani leo wangekaza, kesho tukafanya yetu then wiki ijayo tukamngonga huyu manure ili arudi sehemu yake stahiki
  14. gbrother

    Aibu hii TFF hamuwezi kuikwepa

    Nimesikitishwa sana sana na uamuzi wa TFF jinsi mlivyofanya kwa hayati Sylvester Marsh, Hii ni aibu ya mwaka na kushindwa kusamini mchango wa wapigania soka katika nchi yetu. Marsh alikuwa kocha msaidizi wa Timu ya Taifa kabda ya umauti kumkuta, ukiacha ilo alikuwa na mchango mkubwa sana...
Back
Top Bottom