Mwaka 2012 nami nimeingia Apo udsm kwa masomo hayo hayo na nimesoma private mwanzo mwoshi pamoja na wenzangu tulipewa nusu ya mkopo tuliotoka prvate mwaka ambao mkopo ulisumbua kwa waliosoma private ni 2014 ambapo waliosoma prvate walipewa bum tuu sasa wewe Kama sio wataka kutapeli sijui
Kwaiyo vijana wasomi wanatakiwa wawe wakuu wa wilaya ii tz bwana kana ni wasomi waachwe wazalishe maarifa wafanye tafiti mbali mbali juu za kujenga taifa na sio kupewa kazi za kusaini mabarua ofisini
DC yupo sahihi kufanya hivo na wala sio kuwazalilisha waalimu kama wengine mnavozani mbona polisi wanajeshi wanasafiri buree akati nao wanalipwa mshaharaa inamana nao wanazalilishwa makonda amefanya analoliweza yeye kwa waalimu wa dar huezi mlazimisha eti sisi hatutaki kusafiri bure tunataka...
Kwanza usiseme umemaliza Chuo kwakua bado hujamaliza na chuoni bado wanakuhitaji ; pili ww umecarry usiseme umesap kwa maana ulisap ukashindwa kusapua kwenye shwala la ajira inategemea na utakako pangiwa pia somo ulilocarry kama ni teaching subject au ni masomo ya ualimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.