Natafuta shule nzuri ya private O-level Arusha au Moshi

Scofied

JF-Expert Member
Jun 5, 2012
2,456
1,673
Wakuu heshima kwenu...naomba msaada wa ufahamu wa shule nzuri ya O-level kimazingira na kitaaluma ya private kati ya mkoa wa Arusha /Moshi...iwe na sport coz dogo anapenda football sana...iwe ya boys au mchanganyiko.
Nawasilisha
 
Mpeleke KIZUKA TPDF high school yote atayapat ELimu bora nidhamu ndo usiseme coz n shule ya jesh
 
IKIPATIKANA SHULE YA PRIVATE YA BWENI YA ADA LAKI TATU NA NUSU NITASHUKURU SANA.
Kweli haupo serious, ni heri umbakishe mwanao huko kwenye shule ya government, yani unamtafutia private harafu bajeti yako ni hiyo ama sijakuelewa,kama una bajeti nzuri jipange anza kuulizia pale tengeru boys,
 
Kweli haupo serious, ni heri umbakishe mwanao huko kwenye shule ya government, yani unamtafutia private harafu bajeti yako ni hiyo ama sijakuelewa,kama una bajeti nzuri jipange anza kuulizia pale Tengeru boys,

Mimi sichagui mkoa,

Mkoa wowote wenye shule yenye hiyo ada tajwa,
Nitajie mkuu.
 
Wakuu heshima kwenu...naomba msaada wa ufahamu wa shule nzuri ya O-oleval kimazingira na kitaaluma ya private kati ya mkoa wa Arusha /moshi...iwe na sport coz dogo anapenda football sana...iwe ya boys au mchanganyiko.
Nawasilisha

Mkuu kwa hiyo mikoa miwili shule nzuri ni ISM(Internation School of Moshi) kwa hapa tz hiyo shule kwanza haina mpinzani na mwanao atacheza mchezo yote anayotaka.

ISM ina kampus Arusha

NB: Hii ndiyo shule aliyosoma billionea no moja TZ Mohamed Dewji
 
Mkuu kwa hiyo mikoa miwili shule nzuri ni ISM(Internation School of Moshi) kwa hapa tz hiyo shule kwanza haina mpinzani na mwanao atacheza mchezo yote anayotaka.

ISM ina kampus Arusha

NB: Hii ndiyo shule aliyosoma billionea no moja TZ Mohamed Dewji
Thanks mkuu...ada zao zipoje...nataka at least around 3 m ada kwa mwaka...si unajua tena..
 
wakuu mwanye mawasiliano ya Tengeru boys Sec school anisaidieee....thanks
 
Back
Top Bottom