gasto mwende
Member
- Mar 1, 2016
- 11
- 4
Unaweza soma economics na commerce ( udsm) omba mungu wako uwe na 1 au 2 ya kwanza
Wew ni moja ya mhitimu wa form six wakipekee humu jamiiforumUDSM Japo bado mbali kufika huko....ila tukifika huko nataka I we hivo
Unaweza soma economics na commerce ( udsm) omba mungu wako uwe na 1 au 2 ya kwanza
asante fungi for appreciationWew ni moja ya mhitimu wa form six wakipekee humu jamiiforum
Unajua wapi unaelekea na nin unahitaji unahitaji vtu vichache tu ambavyo mtu wa level yako ya elimu kuuliza ina make sense
Wahitimu wengine wa form six waige mfano wako,unakuta mtu anaanzisha thread "course flan ipoje? ?inalipa?je kama nimesoma combie hii naweza kuisoma?
Maswali ambayo anatakiwa aulize mtoto wa form two
Mi ndo nashangaa ,eti hawa ndo wasomi tunaowategemea ,kama ameweza kulog in Jamii Forum sijui anashindwa nini kuingia TCU. UVIVU kitu kibaya sana.acha uvivu
Tafuta TCU guide book na Prospectus ya vyuo vinavyotoa hiyo course
Utapata mengi zaid ya utakayoambiwa hapa
Vizuri kuwa na malengo matokeo ni kitu kingine, kwa ushauri wangu ikitokea umekidhi cut-off points za udsm bsi vizuri lkn ukiwa una sifa za chuo kingine bsi huna budi kuomba hko pia, nilivyokuelewa unapenda kusomea Economics ili uje kuwa mwalimu wa economics na hpo baadae uje usome M. A Economics. mimi nadhani hakuna kisichowezekana ktk hilo cha muhimu ufaulu vizuri kozi za uchumi unaweza omba BA(Ed) lkni hpo lazima uwe na masomo mawili ya kufundishia labda Economics na Commerce au Economics na Accounts hyo au BEd Economics hpo kwa vyuo vingi unasoma kozi nyingi za ualimu na chache za Economics halafu baadae uje usome Master's degree of science in Economics au Master's degree of arts in Economics.
sawa sawa ndo hivo ndugu....sema wasiwasi wangu unakuta BAEd inachukua two combination subject econ&hist. econ&geogVizuri kuwa na malengo matokeo ni kitu kingine, kwa ushauri wangu ikitokea umekidhi cut-off points za udsm bsi vizuri lkn ukiwa una sifa za chuo kingine bsi huna budi kuomba hko pia, nilivyokuelewa unapenda kusomea Economics ili uje kuwa mwalimu wa economics na hpo baadae uje usome M. A Economics. mimi nadhani hakuna kisichowezekana ktk hilo cha muhimu ufaulu vizuri kozi za uchumi unaweza omba BA(Ed) lkni hpo lazima uwe na masomo mawili ya kufundishia labda Economics na Commerce au Economics na Accounts hyo au BEd Economics hpo kwa vyuo vingi unasoma kozi nyingi za ualimu na chache za Economics halafu baadae uje usome Master's degree of science in Economics au Master's degree of arts in Economics.
Ha Ha Ha haYan unataka usome wewe.. tukuchagulie sisi chakusoma
sio hivo kule kote nimeshacheck ila sikuelewa kwa sababu kule ata kwenye TCU guide book hawaoneshi unit courses utakazosoma wanataja faculty na iko wapi basi...kwenye prospectus nako sijabahatika kuonaMi ndo nashangaa ,eti hawa ndo wasomi tunaowategemea ,kama ameweza kulog in Jamii Forum sijui anashindwa nini kuingia TCU. UVIVU kitu kibaya sana.
Sasa cha kukushauri, subiri matokeo yatoke,then uapply unachotaka kukisoma according na ufaulu wako.sio hivo kule kote nimeshacheck ila sikuelewa kwa sababu kule ata kwenye TCU guide book hawaoneshi unit courses utakazosoma wanataja faculty na iko wapi basi...kwenye prospectus nako sijabahatika kuona
hivo ndivyo tunavyoomba....sasa hapo UDSM hiyo faculty ntajaza BAEd..au?mbona niliona hiyo combination ya com&econ IPO MUCE UDSM haipoUnaweza soma economics na commerce ( udsm) omba mungu wako uwe na 1 au 2 ya kwanza
sawa sawa asante john ila ni vizuri nijue mapema ili siku matokeo yakitoka vizuri....nisibabaike naenda kusoma nnSasa cha kukushauri, subiri matokeo yatoke,then uapply unachotaka kukisoma according na ufaulu wako.
Asante sana ndugu kwa msaada wako ntafanya hivo ...ubarikiweNdio maana nasema itabidi wewe ufuatilie-tafuta contact zao na wapigie. Kwa sababu kuna wachache wa ECA-I suspect watakuchukua lakini ni vizuri kucheck nao kwani wanakupa nafasi 5 tu za uchaguzi. Kama uko karibu basi watembelee UDSM main campus. Inawezekana wameandika lakini hawajafikiria yote yanayoweza kutokea. Usikate tamaa.