Recent content by gasgas

  1. G

    Tukielekea kufunga mwaka, ni matukio gani ambayo yametokea mwaka 2025 hayawezi kufutika kwenye kumbukumbu zako?

    Mazuri 1. Kumaliza shahada ya uzamili kwa mafanikio makubwa 2. Kufanikiwa kuruka viunzi vingi. Huu mwaka umekuwa na changamoto nyingi wanaita character building challenges. Zimenijenga na kuniimarisha kimtazamo na approach yangu. Mabaya 1. Zile video za mauaji yaliyotokea. Najuta kuangalia zile...
  2. G

    Pata faida kupitia Betting

    Tupe handle yako tuone kazi zako za nyuma (won slips)
  3. G

    Amkeni! Hili suala la Zanzibar na Tanganyika ni propaganda

    Umeandika makelele. Unaleta taharuki tu
  4. G

    Nauza dumbbells zangu, 20kg x 2

    Habari za sikukuu. Nauza dumbbells zangu pair ya 20kg x 2. Napatikana Dar Es Salaam Bei ni 200k. Iwapo unahitaji nitumie ujumbe (sms au whatsapp) kwenye namba 0685661790. Asante
  5. G

    Vifaa vya mazoezi vinauzwa

    Sinza makaburini
  6. G

    Vifaa vya mazoezi vinauzwa

    Plates 7.5 kg x 4 5kg x 4 2.5 kg x 4 Barbell 1.5 m Dumbbells bars x 2 Gharama 300k
  7. G

    Kwanini gari aina ya Toyota Rush inauzwa bei kubwa?

    Habari mkuu. Niliona umeanzisha thread kuhusu Toyota rush. Vipi, unaenda nayo vipi? Changamoto zozote unapata?
  8. G

    Nizingatie nini napotaka kununua kiwanja kutoka kwenye kampuni ya kuuza viwanja?

    Habari. Ulifanikiwa kununua kiwanja na kupata hatimiliki?
  9. G

    Faida za mmea wa Ashwagandha

    Vipi mkuu. Zilikusaidia?
  10. G

    Kabati na washing machine vinauzwa

    Kama una laki 4 na nusu nnaweza nikakuachia
  11. G

    Kabati na washing machine vinauzwa

    Sawa ntakuuzia
  12. G

    INAUZWA Kabati la nguo linauzwa

    Karibuni
Back
Top Bottom