Salaam kwenu,
Kati ya malengo yangu mwaka huu ni kubadilisha gari, basi nikaingia sokoni kusaka gari mpya nikavutiwa na Toyota Rush ambayo ina 4 wheel drive na pia cc zake sio kubwa ni 1490 ila nimeshangaa kukuta bei yake inataka kufanana na Nissan Dualis, nikajiuliza ni kwanini Rush inauzwa bei hivi almost 20m na ushee!
Kati ya malengo yangu mwaka huu ni kubadilisha gari, basi nikaingia sokoni kusaka gari mpya nikavutiwa na Toyota Rush ambayo ina 4 wheel drive na pia cc zake sio kubwa ni 1490 ila nimeshangaa kukuta bei yake inataka kufanana na Nissan Dualis, nikajiuliza ni kwanini Rush inauzwa bei hivi almost 20m na ushee!