Kuna biashara ya mtandaoni jamaa mmoja amenieleza kuwa imewatoa wengi. Biashara yenyewe ina itwa d9 clube trading. Kama kuna mtu anaifahamu naomba anifafanulie kama haina shida yeyote
Ila dreva wa lori hana wakumsiliza mana mizigo haiongei that y dereva wa lori anasema hasikiliz abiria maana yy amebeba mizigo abaria wako kwenye gar jilan
Safi sana ndg. Nimesoma comment za watu juu ya wazo lako. Nikichogundua kuna watu wabinafsi, wenye dhalau ila wengi ni waungwana sana. Ukifuatilia matajiri wengi wameanza na biashara ndogondogo sana kama hizi kwaiyo usikate tamaa chukulia wale wanaokukatisha tamaa ndio iwe hamasa kwako...
Habar ya mchana ndugu zangu. Naomba kufahamu inachukuwa muda gani tangu mwanamke ajifingue hadi anapoanza tena ovulation. Au ni muda gani tangu mwanamke ajifungue unapita hadi pale anapoweza kushika ujauzito?
Striker huyu bana mzuri sema mchoyo sana hataki kutoa assist kwa wenzake. Yeye anataka atoke katikati ya uwanja hadi golini bila kupiga pas kwa wenzake utafikir anacheza peke yake uwanjani... Next mechi akae banch tusiendelee kupoteza point tatu.
Mavugo bana tumekosa jana point 3
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.